katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,083
- 5,659
Mdogo wangu yupo kwenye kampuni halafu ameshaniletea matatizo Manager wake anamtaka taka na yeye hana muda naye. I mean hawaendani; amemsumbua kuanzia mwezi wa kwanza hadi huu wasita na mpaka now amempa matatizo kabisa.
Sasa leo kaja home kasema haendi tena shughulini kisa huyo Manager, sasa mimi nifanyaje, na kazi kupata ni shughuli?
Sasa leo kaja home kasema haendi tena shughulini kisa huyo Manager, sasa mimi nifanyaje, na kazi kupata ni shughuli?