Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,342
- 6,467
Source: Michuzi
Ukiangalia hiyo khanga iliyokunjwa kama mtandio aliovaa/ aliojitupia mama Salma Kikwete ina maandishi yanasema: "We Cherish Democracy" (yawezekana kule nyuma kuna maandishi mengine lakini haya yamekamilisha sentensi). Maneno hayo anaambiwa mama Bush na Bush na yanatoka kwa 1st lady na mumewe JK ambaye anawakilisha serikali na CCM.
Ukiangalia mchakato mzima wa kupata viongozi hapa nchini - Tume ya Uchaguzi, Vyama vya siasa, Usajili wa vyama vya siasa, nk. je, ujumbe huu ni wa kweli?