nanga mstafu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 381
- 648
Jamani hili swala pia usikute kuna wanaojiuliza pia hivi toka kuzikwa KANUMBA 2012, bado kuna sehemu kweli?
Hapo kati hakuna waliokufa?
Au haya makaburi wanazikwa watu maarufu tu?
Au ni mechanism gani hutumika kuzika watu na pasijae na vipi bei ni shillingi ngapi?
Hapo kati hakuna waliokufa?
Au haya makaburi wanazikwa watu maarufu tu?
Au ni mechanism gani hutumika kuzika watu na pasijae na vipi bei ni shillingi ngapi?