Narmy
Member
- Apr 2, 2018
- 35
- 37
Ni swali ninalojiuliza sana, maana inaonekana wanaofunga stage hIzo ni wataalamu wa matamasha ya kufuatana mfano leo nImeona Mbeya mjini na Vwawa stage kote za maana. Je, ni nani wapo nyuma ya hili maana naona wanafanya kwa mafanikio makubwa.
Je, ni prime time wa mawingu (clouds) au wale wa maisha club (e-fm?) Au nje ya hapo ABE pro sound labda, majibu nasubiri.
Je, ni prime time wa mawingu (clouds) au wale wa maisha club (e-fm?) Au nje ya hapo ABE pro sound labda, majibu nasubiri.