Sehemu ndogo uko sahihi. Kinondoni ipo Mahakama ya wilaya na ya Hakimu Mkazi. Kama umefika pale unapoingia getini mkono wako wa kushoto ni District court na kulia ni Mahakama ya Hakimu Mkazi kama ilivyo kisutu. Extended Jurisdiction haipewi Mahakama anapewa Hakimu mhusika. Mahakama moja yaweza kuwa na Hakimu mmoja au wawili wa hivyo. Mfano pale kisutu namfahamu In charge tu Mhe Mkeha ndiye Mwenye extended jurisdiction.Cko deep sana na mifumo ya kimahakama bt what I'know ni Mahakama ya kinondoni ni ya wilaya Kinondoni same to Samora ambayo ni ya Ilala na mahakama ya Temeke ambayo ni ya wilaya ya Temeke.. Kisutu inapata Power ya kusikiliza kesi ambazo zingefaa kusikilizwa high court under extended jurisdiction sec 173 CPA(Nimeuliza wajuzi)