nyumbatatu
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,076
- 938
1. Watu kusombwa na malori huku wakilipwa posho kwa lengo la kutengeneza tunachoshindania kwa siasa za sasa " mafuriko!".
2.Kundi watu waliopatikana kwa mtindo hapo juu kutegeshwa njia anayopita na kuwahutubia kwa maelezo wananchi wamemsimamisha (huku kosa la wazi la kiufundi likionekana la kuwavalisha sare za chama, katika joto la siasa za leo Ni vigumu mwanachama wa CCM kuzurura na nguo za chama).
3. Chama kulipa pesa nyingi wasanii ili kuvutia mafuriko ya ziada nje ya waliolipwa posho.Napenda kufahamu kama mh. Magufuli anayajua mambo haya na anayachukuliaje. Kama anafahamu matumaini ya ushindi anaohubiri kila siku huku akipiga push up anayatoa wapi?
Kama hafahamu wanaocheza mchezo huu wanamchukuliaje mgombea wao na wamemuandaaje kisaikolojia atakapobaini kura alizopata hazifanani na ukubwa wa mikutano aliyohutubia.
Nawasilisha.
2.Kundi watu waliopatikana kwa mtindo hapo juu kutegeshwa njia anayopita na kuwahutubia kwa maelezo wananchi wamemsimamisha (huku kosa la wazi la kiufundi likionekana la kuwavalisha sare za chama, katika joto la siasa za leo Ni vigumu mwanachama wa CCM kuzurura na nguo za chama).
3. Chama kulipa pesa nyingi wasanii ili kuvutia mafuriko ya ziada nje ya waliolipwa posho.Napenda kufahamu kama mh. Magufuli anayajua mambo haya na anayachukuliaje. Kama anafahamu matumaini ya ushindi anaohubiri kila siku huku akipiga push up anayatoa wapi?
Kama hafahamu wanaocheza mchezo huu wanamchukuliaje mgombea wao na wamemuandaaje kisaikolojia atakapobaini kura alizopata hazifanani na ukubwa wa mikutano aliyohutubia.
Nawasilisha.