Nazungumzia mabilioni mengi ambayo Qatar anayatumia katika kujiandaa na uendeshaji wa mashindano ya kombe la dunia. Si mchezo, maandalizi ya gharama kubwa yanaonekana yakiendelea kwa mafanikio ya hali ya juu. Lakini ikiwa mashindano yenyewe ni ya mwezi mmoja tu, najiuliza sana;
Gharama zote zile zinarudi vp? au kwakuwa kuna mihela tu ya bure ya mafuta?
fifa wanagharamia gharama zote zile?
Baada ya mashindano hayo, qatar itavifanyia nini viwanja hivyo ikiwa hakuna ligi yoyote ya maana kwao?
Wenye ufahamu na biashara hii ya mchezo huu tufahamishane tafadhali!
nawasilisha
Gharama zote zile zinarudi vp? au kwakuwa kuna mihela tu ya bure ya mafuta?
fifa wanagharamia gharama zote zile?
Baada ya mashindano hayo, qatar itavifanyia nini viwanja hivyo ikiwa hakuna ligi yoyote ya maana kwao?
Wenye ufahamu na biashara hii ya mchezo huu tufahamishane tafadhali!
nawasilisha