Mandesy
Senior Member
- Mar 22, 2018
- 115
- 125
Mkutano wa wakuu wa nchi jumuiya ya SADC umemalizika leo jijini Dar es Salaam. Pamoja na mahudhurio mazuri ya wageni, nimeshtushwa na baadhi ya kauli za watanzania ikiwemo msemaji mkuu wa serikali Bw Abbas ambaye anajinasibu kuwa uenyekiti wa rais Magufuli ni zaidi ya mzunguko wa kawaida. Akijinasibu kwenye televisheni, Ndugu Abbas alisema kwasababu JPM ni msomi, amefanikiwa kuchochea maendeleo, anachukia rushwa nk.
Kwa maoni yangu, kauli za Abbas na Mataga zineonyesha kwamba as if leo ndio tumepata uhuru na leo ndio mara ya kwanza Tanzania kupata uenyekiti tangu tupate uhuru..
Yajayo yanafurahisha
Kwa maoni yangu, kauli za Abbas na Mataga zineonyesha kwamba as if leo ndio tumepata uhuru na leo ndio mara ya kwanza Tanzania kupata uenyekiti tangu tupate uhuru..
Yajayo yanafurahisha