Hivi kweli wanawake wa bara hawajui mapenzi?

Hivi kweli wanawake wa bara hawajui mapenzi?

Wachaga ni kweli kabisa, maana nilikuwa nae mmoja mko kitandani yeye katulia tu na kisimu chake cha tochi,
Ukimuuliza vipi mbona uko busy na simu anadai wewe endelea tu ila usishike maziwa maana ni kwa ajili ya mtoto, huku kuendelea kuchezea calculator eti anapiga hesabu kujua gharama za kufungua grocery ya mbege

🤣🤣🤣🤣🤣sitaki kuamini hili jamani
Mbona sijawahi kupata muda wa kushika simu?huyo hakuwa na hisia na wewe mkuu
 
Back
Top Bottom