Hivi kweli wanawake wa bara hawajui mapenzi?

Hivi kweli wanawake wa bara hawajui mapenzi?

James Martin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2016
Posts
1,205
Reaction score
1,509
Nimesikia mara kazaa kuwa wanawake wa bara wako nyuma kwenye mambo ya mapenzi. Binafsi nafikiri hili ni swali gumu kulijibu ingawa linaweza kuwa na ukweli ndani yake.

Karibu ujana wangu mwingi nilikulia jijini Dar es salaam. Nikiwa jijini Dar nilipata fursa ya "kuwajua" wanawake mbalimbali lakini siwezi kuwachuja wanawake wa kuwa huyu ni wa bara na huyu ni wa pwani. Moja ya madhara ya kuishi kwenye jiji kubwa ni uwezekano wa kupoteza mila asilia kwahiyo wanawake wote niliokutana nao Dar sitowahesabia. Sasa acha niende mikoani lakini sijui nianzie wapi.

Ngoja nianzie na Singida! Wanawake wa Singida ni warembo kwa sura na maumbile. Hawa warembo wa Singida pia huonyesha hisia zao mnapokuwa kitandani.

Sasa nakwenda Tanga. Wanawake wa Tanga pia husifika kwa mapenzi na maneno yao matamu pamoja na mapishi. Nafikiri ukimpata mwanamke wa Kitanga aliyetulia utafurahia maisha yako.

Nimetembea mikoa mengine lakini sikubahatika kuwajua wanawake zao ila nitajaribu kuwatathmini kwa tabia na maumbile yao.

Mikoa ya bara hasa kama Mwanza, Shinyanga, Tarime, Iringa na Mbeya wanawake huwa na tabia za kufanya kazi za shurubu kama wanaume. Pia wanawake wa mikoa hii huwa ni wakakamavu sana kwahiyo usitegemee maneno matamu na lugha laini!

Wanawake wa Kichaga wao wamejikita sana kwenye mambo ya pesa. Nasikia unaweza kuwa katikati ya tendo la ndoa akakuuliza kama umeshalipwa deni lako!

Kwa leo acha niishie hapa lakini naomba maoni yako na wewe.
 
Ulishakutana na wanawake wa kikurya hawako romatic kabisa , ukija kwa dada zangu wa kisukuma wengi wao ni pasua kichwa hawajui lolote zaidi ya kujaliwa shape hawajui hata kushika mike , yaaani wapo wapo kitandani kama magogo ila dada zangu wa pale TABORA WANYAMWEZ SHUGHULI YAO sio ya kitoto .... Maeneo yaliyokaliwa na waarabu nadhani walipata maujuzi na tamaduni za kiarabu tofauti na kanda ya ziwa naunga hoja mkuu

sent from HUAWEI
 
Mimi ndie Mfalme Suleimani

Hekima yangu ni kuwa, nina wake mia saba na mahawara mia tatu

Ukitaka utamu, oa kila kabila.

Ila pesa unayo ndugu!?

Maana saa hizi tumeombwa na bebi zetu hela kwa ajili ya uchaguzi!@#%&));'dut9ocxkcxxxxvxgx%##🙂@!@%€
 
Wachaga ni kweli kabisa, maana nilikuwa nae mmoja mko kitandani yeye katulia tu na kisimu chake cha tochi,
Ukimuuliza vipi mbona uko busy na simu anadai wewe endelea tu ila usishike maziwa maana ni kwa ajili ya mtoto, huku kuendelea kuchezea calculator eti anapiga hesabu kujua gharama za kufungua grocery ya mbege
 
Kuna watu wanaigiziwa wanapendwa nao wanaamin wanapendwa kweli.

Ebu angalia kama kwel wangekuwa wanawake wasio wa bara wanajua mapenz bas ndoa zao zingekuwa zinadum kusingekuwa na taraka.

Uliza hiv wanawake wa bara hawajui maigizo ya mapenzi? Tukujibu.
 
Mikoa ya bara hasa kama Mwanza, Shinyanga, Tarime, Iringa na Mbeya wanawake huwa na tabia za kufanya kazi za shurubu kama wanaume. Pia wanawake wa mikoa hii huwa ni wakakamavu sana kwahiyo usitegemee maneno matamu na lugha laini!
Kwa huu mjumuisho utafiti wako si sahihi...
 
Ulishakutana na wanawake wa kikurya hawako romatic kabisa , ukija kwa dada zangu wa kisukuma wengi wao ni pasua kichwa hawajui lolote zaidi ya kujaliwa shape hawajui hata kushika mike , yaaani wapo wapo kitandani kama magogo ila dada zangu wa pale TABORA WANYAMWEZ SHUGHULI YAO sio ya kitoto .... Maeneo yaliyokaliwa na waarabu nadhani walipata maujuzi na tamaduni za kiarabu tofauti na kanda ya ziwa naunga hoja mkuu

sent from HUAWEI
Uko sawa kabisa, waarabu waliacha mila na desturi nyingi ukanda wa pwani
 
Kuna watu wanaigiziwa wanapendwa nao wanaamin wanapendwa kweli.

Ebu angalia kama kwel wangekuwa wanawake wasio wa bara wanajua mapenz bas ndoa zao zingekuwa zinadum kusingekuwa na taraka.

Uliza hiv wanawake wa bara hawajui maigizo ya mapenzi? Tukujibu.
Haha, hilo nalijua fika ndio maana niliandika kama ukimpata mwanamke wa Tanga aliyetulia kwani najua wako pia na walaghai!
 
Ni kweli mkuu from my experience ni 'wakakamavu' sio romantic.
 
Ni vizuri tuanze kuulizana menu. Unasema unayotaka ufanyiwe ili nikwambie naweza au siwezi.

Wanaume wengi wanastyle tofauti, Kuna wanaopenda utulivu au manjonjo.

Wapenda manjonjo nendeni kwa wamakonde na wangoni. Utulivu. Mje kwetu wa bara. Basi
 
Ni vizuri tuanze kuulizana menu. Unasema unayotaka ufanyiwe ili nikwambie naweza au siwezi.

Wanaume wengi wanastyle tofauti, Kuna wanaopenda utulivu au manjonjo.

Wapenda manjonjo nendeni kwa wamakonde na wangoni. Utulivu. Mje kwetu wa bara. Basi
Hebu fanya kunitafuta bibie! Na mimi huwa napenda sana utulivu! 😇 Nahisi tutaendana!!
 
Ni vizuri tuanze kuulizana menu. Unasema unayotaka ufanyiwe ili nikwambie naweza au siwezi.

Wanaume wengi wanastyle tofauti, Kuna wanaopenda utulivu au manjonjo.

Wapenda manjonjo nendeni kwa wamakonde na wangoni. Utulivu. Mje kwetu wa bara. Basi
Utulivu ndo ile mnaita kusoma gazeti! Hell NO!!
 
Ni vizuri tuanze kuulizana menu. Unasema unayotaka ufanyiwe ili nikwambie naweza au siwezi.

Wanaume wengi wanastyle tofauti, Kuna wanaopenda utulivu au manjonjo.

Wapenda manjonjo nendeni kwa wamakonde na wangoni. Utulivu. Mje kwetu wa bara. Basi
Hao wangoni labda una sikia tu story za watu ila in reality wapo busy sanaa kusaka pesa now days
 
Back
Top Bottom