goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,153
Nguo sirundiki daily nafua ila vyombo wooi sioshi nitafutie mke aliyeachika. [emoji23] [emoji23]Haaa haaa kwahiyo unarundika kama nguo [emoji28]
Nguo sirundiki daily nafua ila vyombo wooi sioshi nitafutie mke aliyeachika. [emoji23] [emoji23]Haaa haaa kwahiyo unarundika kama nguo [emoji28]
Kabisa mkuu, huo mwandiko ni wa kike kabisa, hii ni chai tu hamna ukweli wowote katika hili.Mwandiko wa kike huu
Wikiendi hii nikupeleke mitaa gani. [emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] hongera
Wikiendi hii nikupeleke mitaa gani. [emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] hongera
Wikiendi hii nikupeleke wapi. [emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] hongera
Ngoja nitafute nauli[emoji16]
...kwa nini mkuu,..Ogopa sana watu wa hivi
Nzuro shem[emoji4][emoji4]za asbh shem...
Salama,.za ijumaa Shem??Nzuro shem
Umeamkaje?
Namshukuru M/MunguSalama,.za ijumaa Shem??
Kaka'ko hajambo kabisaa,.yupo hapa anakula aluwa saa hii..[emoji4]Namshukuru M/Mungu
Hajambo kaka Miller
Kwa kweli[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndo amebaki huyo
Haya mpe hiKaka'ko hajambo kabisaa,.yupo hapa anakula aluwa saa hii..[emoji4]
Amesikia,..karibu naww shem..Haya mpe hi