Hivi kweli Rais wetu Trump atachomoa?

TL. Marandu

JF-Expert Member
Jul 12, 2015
3,625
5,807
Nisiseme mengi, Ila baada ya Uchaguzi wa 2016 Hapa Marekani, Kumezuka Mambo mengi sana, Shutuma, Kashfa Usaliti, Madai ya Njama, Kuingilia Madaraka ya Upelelezi wa Urusi kuvuruga Uchaguzi, Kumfukuza Mkurugenzi wa FBI kimizengwe kama alivyofukuzwa Nape!

Kila kukicha kwenye Magazeti TV na Radio kuna Drama mpya Kutoka Ikulu ama Twitter za Mkuu. Je kwa hali hii hata Miezi sita Bado kutimia Trump atatoboa Miaka 3 1/2 iliyobakia au Patachimbika kama Richard Nixon. Ikumbukwe Nchi za Marekani na Ulaya, kuna mstari wa Uadilifu au kuchezea Utwala wa Sheria na Katiba ukiuvuka, Hata chama chako wanakutema kama hawakujui.

By the way Kwa Maoni yangu, na hali halisi ilivyo, Mstari huo Rais wa Tanzania Magufuli alishauvuka tangu mwaka Jana! Je Trump ameshauvuka au anaukaribia?
 
Kusema ukweli mimi sijui. Ila tusubiri wajuvi humu wenye kiherehere cha kujifanya kujua mengi watufafanulie na kutupa darsa zaid.

Be the first to reply.

Am privileged!
 
Wacha tusubiri uchunguzi dhidi yake uanze maana hata mtu wa kuongoza huo uchanguzi teyari keshateuliwa na ni mbobezi mzuri tu kwenye mambo hayo.
 
Raisi wako ni magu huyo trump achana nae! achomoe kwani alikuchomeka nn?
Mimi naweza Kuzungumzia Siasa za Dunia, au Local countries. Nikushauri Usiwe na Mawazo ya Ovyo Kama Mwakyembe ambaye alihadaa Bungeni kuwa ati wanamuziki wanaoimba siasa hawafanikkwi. Huyo nimwandalia Majibu! Kwa Upande wako, hivi nikikusikia Ukishabikia Manchester United au Arsenal, Nikakuambia achana na Timu za Ulaya jikite na Simba na Yanga, Hutadhani mimi ni baradhuli ninayeingilia uhuru wako? Tanzania wapo wanaoshabikia timu za Ulaya na hawajawahi kutia mguu ulaya, na bado tunaona ni haki yao. Iweje mimi ambaye nimeshi Marekani miaka Tangu Clinton Akiwa Rais, Unaniambia ati siwezi Kumzungumzia Trump!
Wanaccm mmewekewa Ubongo wa Kuku au Ni nini, Mmjeaa Unafiki, Kujipendekeza, Nanyie mnarithi Udictator wa Kitodla, mko very unreasonable! Mna shida gani. It will save yall a lot of shame if yall take few minutes to think before opening your mouth like Mwakyembe!
 
Mimi naweza Kuzungumzia Siasa za Dunia, au Local countries. Nikushauri Usiwe na Mawazo ya Ovyo Kama Mwakyembe ambaye alihadaa Bungeni kuwa ati wanamuziki wanaoimba siasa hawafanikkwi. Huyo nimwandalia Majibu! Kwa Upande wako, hivi nikikusikia Ukishabikia Manchester United au Arsenal, Nikakuambia achana na Timu za Ulaya jikite na Simba na Yanga, Hutadhani mimi ni baradhuli ninayeingilia uhuru wako? Tanzania wapo wanaoshabikia timu za Ulaya na hawajawahi kutia mguu ulaya, na bado tunaona ni haki yao. Iweje mimi ambaye nimeshi Marekani miaka Tangu Clinton Akiwa Rais, Unaniambia ati siwezi Kumzungumzia Trump!
Wanaccm mmewekewa Ubongo wa Kuku au Ni nini, Mmjeaa Unafiki, Kujipendekeza, Nanyie mnarithi Udictator wa Kitodla, mko very unreasonable! Mna shida gani. It will save yall a lot of shame if yall take few minutes to think before opening your mouth like Mwakyembe!
This is the answer to ur original question if magufuli has already crossed that line to be impeached? Usingeanzia mbali kwa kufananisha watu any way yes dr magufuli has double crossed that line by soo far but no one cares bcoz people dont love this country ppeople r soo poor they have turned monsters and love for the country is way finished simple
 
This is the answer to ur original question if magufuli has already crossed that line to be impeached? Usingeanzia mbali kwa kufananisha watu any way yes dr magufuli has double crossed that line by soo far but no one cares bcoz people dont love this country ppeople r soo poor they have turned monsters and love for the country is way finished simple
No sijazunguka! I meant what I said, wote wawili nina Interest nao A kama Mmarekani B kama niliyezaliwa Tanzania na Nina ndugu jamaa na Marafiki ukiwapo wewe ambao ninawajalia waishi kwa Amani, haki na uhuru! Kuna kosa gani hapo?
 
No sijazunguka! I meant what I said, wote wawili nina Interest nao A kama Mmarekani B kama niliyezaliwa Tanzania na Nina ndugu jamaa na Marafiki ukiwapo wewe ambao ninawajalia waishi kwa Amani, haki na uhuru! Kuna kosa gani hapo?
Hamna kosa bratha but Tanzania ya saasa siyo unaeijua if u don't live there its worse and magufuli is the reason with his leadership fast forwading a beutiful nation to a big cliff......
 
Ukichanganya na mapresha kutoka kwa mzee wa kiduku/mapanki anaweza kujiuzulu mwenyewe maana ngozi nyeupe huwa haziwezi kuvumilia stress kwamda mrefu
 
Trump mpaka kumfukuza kazi huyo director anajua end of the day hakuna cha kumfanya. Trump ni kama cult leader ambayo ata akimjaza teenager mimba wao wanaona ni sawa. Hakuna mtu yoyote kwenye hakili timamu anaweza ku-impeach katika mazingira hayo. Wanaweka nchi mbele kwanza vyama baadae!
 
Mimi naweza Kuzungumzia Siasa za Dunia, au Local countries. Nikushauri Usiwe na Mawazo ya Ovyo Kama Mwakyembe ambaye alihadaa Bungeni kuwa ati wanamuziki wanaoimba siasa hawafanikkwi. Huyo nimwandalia Majibu! Kwa Upande wako, hivi nikikusikia Ukishabikia Manchester United au Arsenal, Nikakuambia achana na Timu za Ulaya jikite na Simba na Yanga, Hutadhani mimi ni baradhuli ninayeingilia uhuru wako? Tanzania wapo wanaoshabikia timu za Ulaya na hawajawahi kutia mguu ulaya, na bado tunaona ni haki yao. Iweje mimi ambaye nimeshi Marekani miaka Tangu Clinton Akiwa Rais, Unaniambia ati siwezi Kumzungumzia Trump!
Wanaccm mmewekewa Ubongo wa Kuku au Ni nini, Mmjeaa Unafiki, Kujipendekeza, Nanyie mnarithi Udictator wa Kitodla, mko very unreasonable! Mna shida gani. It will save yall a lot of shame if yall take few minutes to think before opening your mouth like Mwakyembe!
Pro Hillary pro gays pole kijana naona umeandika utumbo bora ungeenda kupikia ndizi ule!
 
Back
Top Bottom