Hivi kweli Rais Samia umedhamiria kuleta maendeleo nchini?

EeeenHeeee!

Nacheka huku nikilia machozi kwa nchi yangu Tanzania.

Tunatoka kwenye kikaango tunaangukia kwenye makaa ya moto mkali.

Mungu Ibariki Tanzania.

Mimi nimelia sana nikamkumbuka magufuli, huku tunakopelekwa mmh
 
Halafu kwa uelewa wangu, nilikuwa najua ma DED angalau ni wale waajiriwa wa serikali wenye uzoefu, mfano wakuu wa idara katika halmashauri. Kwa sababu mkurugenzi anaenda kusimamia uchumi wa halmashauri. Ngoja tusubiri tuone.
Pastor masanja mkandamizaji apewe UDED wa dar,,kajitahidi sana kutetea chama.
 
hapa atakuwa analengwa Nikki wa pili na Chiponga
 
Ni sawa lakini kwa mujibu wa sheria zetu DC anaweza ku-overule maamuzi ya DED na Baraza la madiwani. DC ana nguvu ya ushawishi na maamuzi katika masuala mbalimbali ya kijamii. Hivyo kuwa na DC kilaza katika wilaya ni mzigo!
 
Mimi nimelia sana nikamkumbuka magufuli, huku tunakopelekwa mmh
Nimekusoma hapa mkuu...; halafu na hapa chini!
Mwachen mama afanye kazi , Mama 50 tena
Nikawaza..., kumbe wewe ni DC mteule?

Lakini huwa sipendi utani au unafiki kwenye mambo ya msingi kama haya.

Kwa hiyo nikaona nikupe stahiki yako: watu kama nyinyi ndio maadui wakubwa wa Tanzania kuliko hao wanaotutawala.
Siku tukifanikiwa kupata njia za kuwashughulikia nyinyi taifa letu litapona.

Baada ya hayo, nichukulie vyovyote uonavyo inafaa kwako.
 
Ni sawa lakini kwa mujibu wa sheria zetu DC anaweza ku-overule maamuzi ya DED na Baraza la madiwani. DC ana nguvu ya ushawishi na maamuzi katika masuala mbalimbali ya kijamii. Hivyo kuwa na DC kilaza katika wilaya ni mzigo!
Umeongelea nguvu ya "ushawishi", Ina maana hana nguvu "kisheria". Basi tena hakuna ulichonipinga
 
Umeongelea nguvu ya "ushawishi", Ina maana hana nguvu "kisheria". Basi tena hakuna ulichonipinga
Soma vizuri nimeandika kwa mujibu wa sheria zetu DC anaweza ku-overule maamuzi ya DED na Baraza la madiwani.
 
Soma sheria iliyoanzisha mamlaka ya halmashauri za wilaya na ile ya halmashauri za miji na majiji.
 
Nafikiri ni wilaya ya Mlele au Tanganyika! Otherwise ni Chato😜! Ngoja nisubiri maamuzi ya kubadiri gear angani ya mama yetu Samia 😜!
Halafu mimi nakapenda sana basi tu ubavu sina. Hivi kamehamishiwa wapi vile?
 
Acha hizo ww mkuu wa idara, watz wote wanastahiri hata waliopo private sector 😜! Tena wa private sector ndio wanafaa kuja inyoosha mifumo mibovu yenye ukiritimba ya halmashauri 😜!
Halafu kwa uelewa wangu, nilikuwa najua ma DED angalau ni wale waajiriwa wa serikali wenye uzoefu, mfano wakuu wa idara katika halmashauri. Kwa sababu mkurugenzi anaenda kusimamia uchumi wa halmashauri. Ngoja tusubiri tuone.
 
Huyu mtu wala hujamwelewa aiseee,labda umemsoma Leo Leo.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…