warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,375
EeeenHeeee!
Nacheka huku nikilia machozi kwa nchi yangu Tanzania.
Tunatoka kwenye kikaango tunaangukia kwenye makaa ya moto mkali.
Mungu Ibariki Tanzania.
Mimi nimelia sana nikamkumbuka magufuli, huku tunakopelekwa mmh