Sikushauri kabisa siku hizi wapigaji wengi utapoteza pesa muda vitu na uhai wa wasio hatia kisha ukose na hizo pesakwahiyo hizo hela kumbe zipo! [emoji41] mkuu, hebu nifafanulie mwanzo hadi mwisho kuhusu hizo za kutoa kafara.
MIMI NAHITAJI MIHELA MKUU! pia nataka kujua, HIYO MIHELA INAKUA NI KIASI GANI? NI MIHELA INAYOTOKA SIKU ZOTE? AU INATOKA MALA MOJA?
kwa jinsi nilivyo na usongo, mimi mwenyewe ningeweza kujitoa kafara. yaani hivi, NAMAANISHA HIVI, NIFANYIWE MPANGO WA HIYO MIHELA, BAADA YA MIAAKA KADHAA, NIFE. nijibu usichoke
Hapana siwezi asilani niwie radhi kwa hilo... Kwa heri[emoji125][emoji125][emoji125]kwahiyo huwezi kunisaidia katika hilo [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]
Hahaa, pambana naye tu mkuuhahaa ndio nimembaini leo" kuwa tumetoka Mbali Mnoo
Shangaa na wewe! Huyo anayetaka kukupa Jini la Pesa hata nyumba hana, ana kakibanda ka nyasi mvua zikinyesha ni tabu tupu. Bado unaamini tu?Maswali ninayo mengi!..
Hilo Jini, linatoaje Pesa?
Nikwamba linakujazia 'Majaba yamejaa Mihela? au inakuwaje!
Mimi nalihitaji wakuu!
kutoa kafara au kujitoa kafara, sioni tatizo. ila tatizo litakuja pale nitakapotoa kafara na mihela nisiipate!
Yapo japo kwa sehemu ni story za kufikirika.....yapo maeneo ya mwambao wa pwani na hufanya uchaguzi kwa uangalifu na target ikiwa ni jinsia ya kiume.....ni mara chache mno jini hilo kumtunuku mwanamke....shida moja kubwa ni wivu ...likikutunuku utapata kila kitu bure ila usiwe muongo, mlinzi, mlevi wala mvuta sigara za aina zote
Kulimiliki tuu hilo jini ni jasho tayari, ni njia mojawapo ya utafutaji siyo kazi rahicachana na imani potofu ww tafuta hela kwa jasho utafanikiwa mwamini mungu
Jini lenyewe unalo katikati ya mapajaMaswali ninayo mengi!..
Hilo Jini, linatoaje Pesa?
Nikwamba linakujazia 'Majaba yamejaa Mihela? au inakuwaje!
Mimi nalihitaji wakuu!
kutoa kafara au kujitoa kafara, sioni tatizo. ila tatizo litakuja pale nitakapotoa kafara na mihela nisiipate!