CC Mshana JrMaswali ninayo mengi!..
Hilo Jini, linatoaje Pesa?
Nikwamba linakujazia 'Majaba yamejaa Mihela? au inakuwaje!
Mimi nalihitaji wakuu!
kutoa kafara au kujitoa kafara, sioni tatizo. ila tatizo litakuja pale nitakapotoa kafara na mihela nisiipate!
Hahahaa et Mungu hasaidii....Mungu hasaidii!
hela ninazozitaka hapa, si hela za mboga na viwalo, hapana.
NAHITAJI HELA ZA MAANA.
vyovyote vile mkuu! nachohitaji ni 'Mihela' sio hela.
Mh! HatariMaswali ninayo mengi!..
Hilo Jini, linatoaje Pesa?
Nikwamba linakujazia 'Majaba yamejaa Mihela? au inakuwaje!
Mimi nalihitaji wakuu!
kutoa kafara au kujitoa kafara, sioni tatizo. ila tatizo litakuja pale nitakapotoa kafara na mihela nisiipate!
we mpuuzi kweli! kwahiyo niende bank bila siraha?
kha!
DuuhhhMaswali ninayo mengi!..
Hilo Jini, linatoaje Pesa?
Nikwamba linakujazia 'Majaba yamejaa Mihela? au inakuwaje!
Mimi nalihitaji wakuu!
kutoa kafara au kujitoa kafara, sioni tatizo. ila tatizo litakuja pale nitakapotoa kafara na mihela nisiipate!
WEWE NI BWEGE