Hivi kweli kesho ni siku ya mapumziko?

Hivi kweli kesho ni siku ya mapumziko?

Kwa akili za kawaida tu
hivi hiyo kitu inawezekana kweli, mmmmh
wabongo kwa uvivu loooh.
 
Habarini
Kuna tetesi kua serikali imetoa waraka kwamba sherehe ya nane nane itafanyika kesho kwa hiyo ni siku ya mapumziko, yoyote mweny kuona huu waraka atuambie basi

Shukrani




Dalili za uvivu.....
 
ni kweli kwa kanda ya kaskazini kesho ndo nane nane. trh nane watu wanarudi kwaajili ya eid
 
ni kweli kwa kanda ya kaskazini kesho ndo nane nane. trh nane watu wanarudi kwaajili ya eid
Hebu tupe data maana hapa nimeshambuliwa kwa kuuliza tu
 
ni kweli kwa kanda ya kaskazini kesho ndo nane nane. trh nane watu wanarudi kwaajili ya eid

impossible,after all nanenane inaanza na kufikia kilele tarehe nane,kuwe na idd ama kusiwe na idd,vinginevyo someone must be realy crazy.
 
Enzi za mwinyi ingewezekana

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
kumbe hujamsoma mwenzako ako na lengo la kuanzisha debate ya udini.

Hata kama ana lengo la kuanzisha debate ya udini, siku kuu ya Wakulima a.k.a Nane nane sio ya kidini, sasa udini unaingiaje hapo ?
 
Hata kama ana lengo la kuanzisha debate ya udini, siku kuu ya Wakulima a.k.a Nane nane sio ya kidini, sasa udini unaingiaje hapo ?
he just want to say that,the government have changed nanenane day to give chance for idd.

He is saying that indirectly,and before you know it people will be busy criticizing about udini.
Actually it is impossible to change the day just to give chance for idd,cause there is nothing wrong with celebrating both nanenane and idd on 8th
 
Hata kama ana lengo la kuanzisha debate ya udini, siku kuu ya Wakulima a.k.a Nane nane sio ya kidini, sasa udini unaingiaje hapo ?
just keep cool and watch how this thread is shaping.
 
acha kubisha me niko morogoro nimefika leo na kesho ndo kilele tunarud tanga kesho kutwa
Kwani nimebisha n dugu yangu mie nimeuliza hapa nani mwenye hizo data basi maana watu bado hawajaamini hili kua linawezekana
 
Ni kwamba JK anatoa hotuba ya Nane Nane jumatano tarehe 7. Na kufunga rasmi maonesho ya kilimo. Hii ni ili asiamke kabisa siku ya tarehe 8. Ambayo inadaiwa kuwa ni Eid.
 
binafsi nimesikia east africa radio,kwa ushahidi tu unaweza kuingia ukurasa wao wa twiter
 
Back
Top Bottom