Hivi kweli kesho ni siku ya mapumziko?

Hivi kweli kesho ni siku ya mapumziko?

Zanta

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2011
Posts
2,028
Reaction score
797
Habarini
Kuna tetesi kua serikali imetoa waraka kwamba sherehe ya nane nane itafanyika kesho kwa hiyo ni siku ya mapumziko, yoyote mweny kuona huu waraka atuambie basi

Shukrani
 
Kwahiyo itaitwa saba nane? Hakuna kitu kama hicho

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Si ndo hapo mkuu mpaka nashindwa kuelewa, yaani kuna mtu kampigia simu mkuu mmoja wa wilaya akakiri kesho sio siku ya kazi. mkanganyiko uliopo hapo 7/8 kazi kweli kweli
 
waraka!!!!! yaani wa kubadilisha kurudisha matukio nyuma au unazungumzia nini huo?
 
waraka!!!!! yaani wa kubadilisha kurudisha matukio nyuma au unazungumzia nini huo?
eti ili isigongane na IDD, ni uvumi tu nimeusikia ndo maan nikataka kuja kujua kama ni kweli au uzushi
 
Inaweza ikawa mapumziko kama mwezi utaonekana leo,kesho inakua idd.
 
mh hiyo kali mno.we utakuwa unataka kupumzika tu.
 
Habarini
Kuna tetesi kua serikali imetoa waraka kwamba sherehe ya nane nane itafanyika kesho kwa hiyo ni siku ya mapumziko, yoyote mweny kuona huu waraka atuambie basi

Shukrani

Mbona sisi tuko hapa Mnadani tunakula nyama choma na larger bila kuwa na taarifa kama hiyo. Tukio liliochukua muda mrefu kuandaliwa linaweza kubadilishwa kwa kurudishwa nyuma au kupelekwa mbele kirahisi hivyo, tena siku moja kabla !! Huyo Mgeni Rasmi atatoka wapi ? hakuna kitu kama hicho.
 
yaani watu wamechoka na kazi wanawaza kupumzika tu, pigeni kazi watoto wasome jamani, ikitokea mapumziko yasiyo ya lazima kasirika kutofanya kazi na si kufurahia kutokuja kazini
 
yaani watu wamechoka na kazi wanawaza kupumzika tu, pigeni kazi watoto wasome jamani, ikitokea mapumziko yasiyo ya lazima kasirika kutofanya kazi na si kufurahia kutokuja kazini
hakuna aliefurahia ni kutaka kupata ukweli tu si unajua nauli isiende bure
 
Back
Top Bottom