Hivi kweli hii ni haki

Hivi kweli hii ni haki

Issue hapo sio kitanda tu, yaani tukio zima ni laana tupu, hata kama ungeenda kulala naye mtaroni , bado laana ipo pale pale ,

Wanando vaeni uaminifu, pete mzigo jamani
ahsante ili neno!
 
  • Thanks
Reactions: sab
Bora aliye argue kuwa ni ni utovu wa nidham, adabu na heshima lkn nyie wa et laana mmeshindwa ku-argue logically.

Je, laana inatokeaje?
Analaaniwa aliyeleta ,aliyeletwa au wote? (aliyeletwa anaweza kuwa anajua au hajui kama u are spouse to someone)
Je, hli ndo kosa kuliko mengne yte yanayofanywa na wanandoa mpk lisababishe laana?
Anyway hv laana ipo au huwa ni matokeo ya maamuzi, na kama ipo vp nkitumia njia mbadala kujisafisha ili inihepuke?
 
Laana ya zinaa ni laana tu hata kama zinaa hiyo imefanyika chumbani kwenu, jikoni, bafuni, kwenye gari, guest house au hata kama wamekwenda Dubai au Hong Kong kufanya hiyo zinaa, bado laana iko pale pale.

Kitendo cha Mume au Mke kufanya ngono na mtu mwingine iwe ni mahali popote pale, hiyo inakuwa tayari ni laana. Haijalishi zinaa hiyo imefanyika wapi. Mawazo ya zinaa hutoka ndani ya roho ya mtu, hivyo anayefanya zinaa huichafua roho yake mwenyewe na siyo kitanda.
Well said
 
Back
Top Bottom