Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,882
- 38,512
Mziki wa sasa sio kujua kuimba tu.
Huwa mnajidanganya Tu viewer ni mhimu Sana kuhit worldwide , akina davido wanagonga mpak viewers 💯 mil , Justin Bieber anagonga viewers mpak 3bill , YouTube wenyewe huwa wanazipush Ngoma zinazotambaa sana watu weng wanawekewa kama recommend ...Naunga mkono hoja. Kuna nyimbo nyingi sana ndani na nje ya Tz ambazo zimebamba kiafrica hadi dunia, ambazo mtaani zinapigwa yani Hit song
ila ukiingia Youtube viewers 500k
kama Wimbo wa burna boy anybody una viewers milioni 21 kwa miezi7 umehit worldwide na hauchoshi viewers wakawaida sana kwa ukubwa wa hio ngoma.
sidhani kama viewers wana mata sana labda kwenye hela
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli ni kua dogo kapoteza mvuto sana sio kidogo izi mambo za kutoa nyimbo kabla aijaisha nyingine mtaani unapandisha na nyimbo nyingi ni majungu zinampoteza msanii ambae fanbase bado Mondi anachojisifu ata akitoa nyimbo mbovu ana fanbase kubwa na diehard fans, Harmo amesahau Aslay alivyotamba 2017-2018 baada ya kutoka yamoto band now akitoa nyimbo watu wanaona kawaida tu coz washamjua anaimba aina gani sasa Mmakonde wetu anarudia strategy ya Aslay anasahau anatrend now kwakua hakuna wasanii wenye fanbase kubwa walioachia ngoma, kiba akitoa ngoma 1 on trending anamtoa sasa kama Vanny anatoa kideo sku 3 tu 1M amegusa konde anatafuta kwa tochi.
Sema Muda ndio jibu tosha tusubiri tuone tusimtabirie mabaya maana anataka achia albamu yake ya kwanza inaweza fanya vzr
Sent from my iPhone using JamiiForums
Muda utaongea ila dalili ya mvua ni mawinguUkweli ni kua dogo kapoteza mvuto sana sio kidogo izi mambo za kutoa nyimbo kabla aijaisha nyingine mtaani unapandisha na nyimbo nyingi ni majungu zinampoteza msanii ambae fanbase bado Mondi anachojisifu ata akitoa nyimbo mbovu ana fanbase kubwa na diehard fans, Harmo amesahau Aslay alivyotamba 2017-2018 baada ya kutoka yamoto band now akitoa nyimbo watu wanaona kawaida tu coz washamjua anaimba aina gani sasa Mmakonde wetu anarudia strategy ya Aslay anasahau anatrend now kwakua hakuna wasanii wenye fanbase kubwa walioachia ngoma, kiba akitoa ngoma 1 on trending anamtoa sasa kama Vanny anatoa kideo sku 3 tu 1M amegusa konde anatafuta kwa tochi.
Sema Muda ndio jibu tosha tusubiri tuone tusimtabirie mabaya maana anataka achia albamu yake ya kwanza inaweza fanya vzr
Sent from my iPhone using JamiiForums
Atapotea tu na akipoteaa akina mchomvu atabaki kuwasikia tuAnajiita jeshi , akina Adam mchomvu walimdanganya
Ni kweli saizi ana tapatapa pekeake tuUnapoint.((zikitoka HIT huyuu jamaa watu watamsahau))
ila kwenye kampeni atapiga hela.
Na kashaombewa ubunge na mkuu.
Akimaliza kampeni akitoa na album yake apo ndo mwisho wake kabisaManagement aliyonayo sasa hiv ya jembe ni jembe ndo kikwazo Cha mziki wake so why Hadi sasa Hana show hata moja nje ya nchi.Jambo lingine harmonize Hana diefans Kama diamond.
Kapoteza mvuto kiujumla zero creativityPia watu wanapenda muziki mzuri, kwasasa utunzi wake hauvutii, nyimbo zinajirudia maneno hata mitindo ya kuimba nk. Anapaswa awe makini sana