Mahmoud Shariff Qaasim
JF-Expert Member
- Nov 3, 2007
- 923
- 271
hahaaa haya mkuu,mashoga hawakuwepo katika utamaduni wetu wa kiafrica,hahaaaa hapo hapo unasema,inasemekana akigundulika mwanaume amefanya kitendo hicho aliuwawa.................mmmnh sasa hujaona you are implying 'ushoga ulikuwepo Enzi na Enzi?? waliogundulika waliouwawa,'wasiogundulika' je?
kuoa wake Zaidi ya mmoja sio dawa ya kuondoa ushoga,labda ulete hoja ya gay in islam world,sitaki unipeleke nje ya topic niliyoileta.
kumbe umeelewa eeh, kukwambia wakigundulika wanauwawa hiyo sio dalili ya kuwepo bali ni nyia iliyokuwa ikimaliza walijaribu hilo jambo. ni sawa na kusema hakuna Mmasai Albino, haina maana hawajawahi kuzaa albino ila mila yao akizaliwa albino wanamuua palepale ndani kwa wakunga wa kuzalisha hiyo ni mila yao.
unajua mwanadamu ni mtundu hivyo tabia hiyo ya utundu humfanya awe anajaribu kila anachofikiri anaweza kufanya hilo pia ni jingine, kuna ushoga wa utundu na ushoga wa uhanithi ila vyote ni ushoga. zote hazifai na ni tabia mbaya na chafu.
