Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,745
- 5,446
- Thread starter
- #21
Unaposema logo unahusisha alama zote pamoja na rangi zake. Logo inaposajiliwa kama trademark huwa inahusisha na rangi zake, ndio maana maandishi ya cocacola huwa ni meupe au meusi na nyekundu, sio zaidi. Logo ya Vodacom ni rangi nyekundu, logo ya GSM ni nyeusi na nyekundu kinyume cha hapo ni michongo tu wanaofanya Yanga.Hueleweki
Ulianza kusema hawavai tumekuonesha picha.
Saizi umekimbilia kwenye rangi sijui trademark yaani unataka ubishani tu.
Wamevaa au hawajavaa?
Halafu mimi sio dogo sawa janja?
Najiuliza ikiwa Yanga watatinga makundi katik CAF champions league kama watabadilisha ile logo ya Total. Time will tell.
Hoja hii naiwasilisha humu kama kumbukumbu muhimu maana miaka michache ijayo Yanga watashiriki michuano mikubwa Afrika ambako watakuta wadhamini wana rangi blue na nyekundu, Je hawatavaa? Tunaharibu hadhi ya soka letu kwa sababu za rejareja badala ya kutumia weledi na taratibu husika.
Vv