Kwnanza kabisa nikupe pole ww mtoa uzi,kushangaa ni hulka ya binadam yeyote aliya na akili timamu,pia kushanga ni tiba,Kushangaa pia ni udadisi,wengi wlio wahi shangaa sana duniani wamegundua mambo makubwa duniani,
Pia jua kuwa huwezi shangaa jambo au tukio au tendo ulilo lizoe,kijiko kuchimba mtalo lazima watu washangae wamezoea kuchimba kwa majembe mkono, leo wanona kuna kitu kinachimba kwa nn asishanga kama anaakili timamu,ila kumbuka kesho hatashanga tena kwa tukio hilohilo
Mtoto wakizungu na wakimasai ukiwapeleke simba au twiga mtoto wakizungu atashangaa wakiamsai kwake nimazoea,
wazungu watoka kwao wanakuja kushangaa wanyama wamsai wanawashangaa kulipa hela nyingi eti aone simba,
Kwahiyo kushangaa ni kitendo cha kutaka kujua au kuburudisha au kujifurahisha,Mfano mazingaombwe yakifanyika watu wanashangaa,ila mfanyaji hashangai,
Kuna mtu kasema watz washamba,naomba nikuelimishe maana ya ushamba
Ushamba ni hali ya kutojua jambo au kitu hasa katika matumizi yake na yule mtakamji wa jambo mshamba yaani yule anekuita wewe mshamba jambo hilo kasha lizoea ndio maana anajiona si mshamba,
Neno mshamba limetokana na kwamba watu wamshambani wengi hawajui mambo menngi ya kisasa,
Ila kumbuka hata ww ukienda kijijini ukaona jamaa wanavyo tega mitego kwa kunasa ndezi au kwale, utashangaa,so na ww ni mshamba japo watakuita wamjini,
so all in all hakuna binadam asiye wahi kua mshamba kwanamna moja au nyingine, leo hii kama sio sashivi ukijenga nyumba ya udongo naukaezekea makuti kule ulaya kila mzungu atashangaa,ila jenga Dar uone,