Hivi kwanini watanzania wanapenda kushangaa shangaa?

Hivi kwanini watanzania wanapenda kushangaa shangaa?

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
12,072
Reaction score
16,625
kuna suala huwa najiuliza,hivi tabia ya watanzania kushangaa shangaa hovyo tumeitoa wapi?
unakuta maybe greda linachimba tu mtaro huko mtaani but wazee,vijana na watoto wanakua wamelizingira Hilo greda.na hii tabia iko mijini na vijijini.
hivi tatizo huwa ni ukosefu wa kazi za kufanya au ni nin tatizo?
 
Sisi ni washamba kwan nan asiyejua
 
Watanzania wote au ni baadhi?Na vp wew(mana nawe ni mtz)huwa unashangaa shangaa?
 
Ni kweli Hata akitokea Sangoma na Joka la Kibisa akianza kifanganya wanajia wanadanganywa.But wanaanza kushangaaa na eanayapeliwa tena wakati Jana yake huyu anayetapeliwa aliapa hatashiriki tena but anasahau anatapeliwa tena Leo!!!
Hii ndo Tz
 
Hahahah inafurahisha sana hii, tena kama unapita eneo flani ukaona umati wa watu wanashangaa kitu wala usijisumbue kwenda kumuuliza mtu yeyote hapo, wengi wao watakwambia "hata mimi mwenyewe sijui nini kinaendelea hapa"
 
Watanzania wote au ni baadhi?Na vp wew(mana nawe ni mtz)huwa unashangaa shangaa?
Asante sana!
Hichi kitendo cha generalizing kina kera sana walahi!
Kama ingekuwa ni kweli I guess my city Dar es Salam watu wangekuwa hawafanyi kazi eti!
That’s all
 
kuna suala huwa najiuliza,hivi tabia ya watanzania kushangaa shangaa hovyo tumeitoa wapi?
unakuta maybe greda linachimba tu mtaro huko mtaani but wazee,vijana na watoto wanakua wamelizingira Hilo greda.na hii tabia iko mijini na vijijini.
hivi tatizo huwa ni ukosefu wa kazi za kufanya au ni nin tatizo?
Mimi nimtanzania sina kazi kilasiku nakuja hapa tazara kushangaa flyover inavyo jengwa sijui itaisha lini.
 
kuna suala huwa najiuliza,hivi tabia ya watanzania kushangaa shangaa hovyo tumeitoa wapi?
unakuta maybe greda linachimba tu mtaro huko mtaani but wazee,vijana na watoto wanakua wamelizingira Hilo greda.na hii tabia iko mijini na vijijini.
hivi tatizo huwa ni ukosefu wa kazi za kufanya au ni nin tatizo?
Hatujaanza leo tangu zamani watu wanashangaa na sio watanzania tu wanaoshangaa bali watu wote duniani wanashangaa tofauti ipo unashangaa nn
 
Hahahah inafurahisha sana hii, tena kama unapita eneo flani ukaona umati wa watu wanashangaa kitu wala usijisumbue kwenda kumuuliza mtu yeyote hapo, wengi wao watakwambia "hata mimi mwenyewe sijui nini kinaendelea hapa"
Hahahaha nimecheka sana...hata pale ubungo mataa watu hujaa kushudia china vil wakifanya mambo yao
.haha watanzania tu washamba sana...
 
Back
Top Bottom