tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 12,072
- 16,625
kuna suala huwa najiuliza,hivi tabia ya watanzania kushangaa shangaa hovyo tumeitoa wapi?
unakuta maybe greda linachimba tu mtaro huko mtaani but wazee,vijana na watoto wanakua wamelizingira Hilo greda.na hii tabia iko mijini na vijijini.
hivi tatizo huwa ni ukosefu wa kazi za kufanya au ni nin tatizo?
unakuta maybe greda linachimba tu mtaro huko mtaani but wazee,vijana na watoto wanakua wamelizingira Hilo greda.na hii tabia iko mijini na vijijini.
hivi tatizo huwa ni ukosefu wa kazi za kufanya au ni nin tatizo?