WAKUNJOMBE
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 634
- 681
aisee hiyo tabia huwa inanikera na huwa najiuliza hv watu wengine wakoje, unakuta mtu kashuka kwenye dalala ana safari zake lakini kakuta tukio halina mbele wala nyuma watu wanashangaa na yeye safari inaishia hapo hapo anashangaa, na mengine ni ya kijinga ambayo huniacha hoi mfano mimi asubhi nnapotoka kwangu sina wa kunifungulia geti basi nnapotoka inanibidi nifungue geti nitoe gari then nishuke kwenye gari nirudi kufunga geti na nnaporud nyumbani ni hivyo hivyo ila cha kushangaza unakuta mtu anasimama kabisa anashangaa nnavyofungua lile geti natoa gari au naingiza gari na atashangaa mpaka gari inapopotelea, sasa najiulizaga cha ajabu ni nini au ni habit tu baadhi ya watu wamejijengea, mbona mimi siwezi kuwa hivyo
Huoni na ww umeshangaa anavyo kushangaa,