ndo hivo, nshawahi kuulizwa mie et mbona siioni????
Mwanaume kwanza juwezi kuprove km ipo,but most i look up to him anifundishe mambo mengne,sasa mi nikiwa tcha kuliko yeye ht hainogi
come on! relax first!
Kwani kumuelekeza tu shida iko wapi?!
Kwa hiyo anaweza akaitafuta usiku kucha asiione hadi asubuhi?
sasa kama ulibana miguu atafanyaje!! hahahahaaa!! sorry,!
vp ulimuonyesha? au ukashika mashine NA kuizamisha mwenyewe
Yani hawajuagi zilipo serious!!!!!!!