Bwajilo
JF-Expert Member
- Dec 5, 2021
- 345
- 880
Nilijiwekea msimamo wa kuoa mwanamke mwenye bikra, ila nikajikuta nakuwa mfuska wa kubadili wanawake kwa kutafuta kitu ambacho kiuhalisia kwa Tanzania Sasa hivi ni nadra. Wanaume wenzangu tambueni kuwa kwa Sasa hii kitu ni adimu wanawake hawajitunzi tena.
Niseme sijui mnaokutaga bikra mnapataga wanawake wa Sayari gani? Hivi hawa wanawake wenye kujitunza bado wapo? Au wenzetu mnatembea na vitoto vya standard four au five?
Mimi na ungurubange wangu wote nimekutana na idadi ambayo hata siifahamu ya wanawake lakini hakuna hata mmoja niliemkuta Virgin. Kwa mtu anaesubiri kukutana na wanawake bila kifungo cha sheria bikra ni sawa dhahabu shimo la mchanga, haipoooo.
Je Kuna wanaume wenzangu ambao mna bahati mbaya kama Mimi? Hamuijui bikra na hamtarajii tena kuijua kutokana na umri hauruhusu kukutana na umri tarajiwa wa bikra?
Na mliobahatika kukutana ni hii kitu tupeni uzoefu wanaume wenzenu kwamba ni umri gani ni likely kukutana na hii kitu?
Je ni kweli mwanamke utakaemtoa bikra huwa akusahau maishani mwake kote?
NB
Wanawake jitahidini kutunza wabinti waliochini yenu, wanaume wengi tungetamani kuoa wanawake wa sample hiyo. we
Niseme sijui mnaokutaga bikra mnapataga wanawake wa Sayari gani? Hivi hawa wanawake wenye kujitunza bado wapo? Au wenzetu mnatembea na vitoto vya standard four au five?
Mimi na ungurubange wangu wote nimekutana na idadi ambayo hata siifahamu ya wanawake lakini hakuna hata mmoja niliemkuta Virgin. Kwa mtu anaesubiri kukutana na wanawake bila kifungo cha sheria bikra ni sawa dhahabu shimo la mchanga, haipoooo.
Je Kuna wanaume wenzangu ambao mna bahati mbaya kama Mimi? Hamuijui bikra na hamtarajii tena kuijua kutokana na umri hauruhusu kukutana na umri tarajiwa wa bikra?
Na mliobahatika kukutana ni hii kitu tupeni uzoefu wanaume wenzenu kwamba ni umri gani ni likely kukutana na hii kitu?
Je ni kweli mwanamke utakaemtoa bikra huwa akusahau maishani mwake kote?
NB
Wanawake jitahidini kutunza wabinti waliochini yenu, wanaume wengi tungetamani kuoa wanawake wa sample hiyo. we