Wanaume waliooa wanaka-aura flani hivi. Yani so sexy wallahi.
Wako confident, hawana papara, ni wasafi(wanatunzwa), hawana njaa kubwa sana ya papuchi(anayo nyumbani), hawana kufuatiliana wala mawiiivuuu(anauelekeza kwa mkewe), anahonga(ndo kitu pekee anaweza kukupa).
Wanaume waliooa wanaka-aura flani hivi. Yani so sexy wallahi.
Wako confident, hawana papara, ni wasafi(wanatunzwa), hawana njaa kubwa sana ya papuchi(anayo nyumbani), hawana kufuatiliana wala mawiiivuuu(anauelekeza kwa mkewe), anahonga(ndo kitu pekee anaweza kukupa).
Hahahaaa dah umenichekwsha ujue
Tafuta wako mama umtunze
Hakika Itakuwa unatoka na mume wa mtu na kama sio mimi sidhani!!Wanaume waliooa wanaka-aura flani hivi. Yani so sexy wallahi.
Wako confident, hawana papara, ni wasafi(wanatunzwa), hawana njaa kubwa sana ya papuchi(anayo nyumbani), hawana kufuatiliana wala mawiiivuuu(anauelekeza kwa mkewe), anahonga(ndo kitu pekee anaweza kukupa).
Mnapenda kulelewa wakati sisi tunapenda kulea!!Habari za majukumu wakuu?
Nilikua naomba kujua ni sababu gani zinazowanya wanaume waliooa kutokukataliwa kizembe na wanawake wa rika tofauti, wakati sisi amabo hatujaoa sometimes inaweza ikapita hata mwezi hakuna hata binti anayekusalimia.
kwa leo ni hayo tu.
asante