Hivi kwanini wanaume waliooa huwa hawakataliwi kizembe na wanawake?

Wanaume waliooa wanaka-aura flani hivi. Yani so sexy wallahi.

Wako confident, hawana papara, ni wasafi(wanatunzwa), hawana njaa kubwa sana ya papuchi(anayo nyumbani), hawana kufuatiliana wala mawiiivuuu(anauelekeza kwa mkewe), anahonga(ndo kitu pekee anaweza kukupa).
 
Hahahaaa dah umenichekesha ujue

Tafuta wako mama umtunze
Wanaume waliooa wanaka-aura flani hivi. Yani so sexy wallahi.

Wako confident, hawana papara, ni wasafi(wanatunzwa), hawana njaa kubwa sana ya papuchi(anayo nyumbani), hawana kufuatiliana wala mawiiivuuu(anauelekeza kwa mkewe), anahonga(ndo kitu pekee anaweza kukupa).
 
Michepuko utawajua tu kwa comments zao yaani wako full confident mpaka basi
Wanaume waliooa wanaka-aura flani hivi. Yani so sexy wallahi.

Wako confident, hawana papara, ni wasafi(wanatunzwa), hawana njaa kubwa sana ya papuchi(anayo nyumbani), hawana kufuatiliana wala mawiiivuuu(anauelekeza kwa mkewe), anahonga(ndo kitu pekee anaweza kukupa).
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom