kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,521
- 12,618
Habari za majukumu wakuu?
Nilikua naomba kujua ni sababu gani zinazowanya wanaume waliooa kutokukataliwa kizembe na wanawake wa rika tofauti, wakati sisi ambao hatujaoa sometimes inaweza ikapita hata mwezi hakuna hata binti anayekusalimia.
Kwa leo ni hayo tu.
Asante
Nilikua naomba kujua ni sababu gani zinazowanya wanaume waliooa kutokukataliwa kizembe na wanawake wa rika tofauti, wakati sisi ambao hatujaoa sometimes inaweza ikapita hata mwezi hakuna hata binti anayekusalimia.
Kwa leo ni hayo tu.
Asante