Wahaya na wajaluo wanafanana kwa kupenda sifa.
Pili niliwahi kuambiwa kua wahaya na wajaluo ni watani wa jadi lakini pia wana vinasaba ingawa sina uhakika maana kijaluo sio kibantu ila kihaya ni kibantu.
Kanda ya ziwa ndio inaongoza kua na watu wanaopenda sifa Tanzania nzima.
Angalia wahaya, wajaluo, wajita kina Mafuru wakwaya kina mihongo, wakurya, wakara, wakerewe, wasubi kina mukulu wa bakulu. Hawa wanasumbuliwa na ile kitu wanaita superiority complex disorders.
Kanda ya ziwa kabila pekee lisilopenda kujikweza ni wasukuma, wao kila kitu ni ntobo tabhu, ntoho shida.