Kwa sababu wanapenda Biashara ya kununua na kuuza ....Una swali lingine juu ya wachaga ? .
Mkuu, umemsahau Mkwere kaka!Kama mtaani kwenu hayupo Mangi, basi itakua mnaishi abroad.Kama masai sio mlinzi.Mhaya hana majivuno.Mkurya si mjeshi,Msukuma hafugi ngombe.Mswahili si dalali.
Kama mtaani kwenu hayupo Mangi, basi itakua mnaishi abroad.
Kama masai sio mlinzi.
Mhaya hana majivuno.
Mkurya si mjeshi,
Msukuma hafugi ngombe.
Mswahili si dalali.
Wasambaa ni wauza magenge, house girls.