Hivi kwanini Wachagga wanapenda kuuza duka?

Hivi kwanini Wachagga wanapenda kuuza duka?

Nilienda Mtwara mpakani huko na Msumbiji nikakutana na mchagha nikauliza wenyeji wakaniambia jamaa ndiye wa kwanza kufungua duka maeneo yale kabla walikuwa wanavuka kwenda msumbiji,wanasema waarabu walitaka kufungua biashara pale but mazingira hayakuwashawishi mpaka alipofungua yule mangi ndo wakarudi,inasemekana popote ambapo mangi amefungua business ikamshinda basi hakuna mtu ataketia mguu pia akifanikiwa ndo wengine watafuata.wachagha wapo vizuri sana kwenye biashara,mtu anaanza na kiosk baada ya miaka mi4 unasikia ana maduka ma3,ila sio wao tu hata wengine tunaweza sema ndo tushajijengea kasumba kwamba hatuwezi tumewaachia wao biashara hizo.
 
"Mswahili si dalali"

Kwani hao wengine uliowataja hapo juu wao sio WASWAHILI?!
kumbuka kiswahili kina asili ya pwani na wazungumzaji wa kiswahili ni waswahili. Leo hii watanzania wengi tunazungumza kiingereza, je sisi ni waingereza?
 
Kama mtaani kwenu hayupo Mangi, basi itakua mnaishi abroad.

Kama masai sio mlinzi.

Mhaya hana majivuno.

Mkurya si mjeshi,

Msukuma hafugi ngombe.

Mswahili si dalali.
huyo mswahili ambaye ni dalali ndio kabila gani na wako mkoa gani ?
 
Kama mtaani kwenu hayupo Mangi, basi itakua mnaishi abroad.

Kama masai sio mlinzi.

Mhaya hana majivuno.

Mkurya si mjeshi,

Msukuma hafugi ngombe.

Mswahili si dalali.

Anauza duka au anauza bidhaa zilizomo dukani?
 
Umeshawai kukutana na wachu,mchaga akasome kwa hawa jamaa kwenye issue ya maduka ya bidhaa za nyumbani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom