Hivi kwanini Waamerika walimchagua Trump?

Hivi kwanini Waamerika walimchagua Trump?

mtoa hoja kanishangaza sana wewe masuala ya USA yanakuhusu nini?president Trump ni rais wa Amerika elewa hivyo na kwa taarifa yako he is doing a very good job kiuchumi,jiulize rais wa kwako ameifanyia nini nchi yako?kila kikicha ni kupokea wapinzani as if ni wakimbizi kutoka nchi nyingine!!
 
mtoa hoja kanishangaza sana wewe masuala ya USA yanakuhusu nini?president Trump ni rais wa Amerika elewa hivyo na kwa taarifa yako he is doing a very good job kiuchumi,jiulize rais wa kwako ameifanyia nini nchi yako?kila kikicha ni kupokea wapinzani as if ni wakimbizi kutoka nchi nyingine!!
Mkuu hili ni jukwaa la Kimataifa
 
mtoa hoja kanishangaza sana wewe masuala ya USA yanakuhusu nini?president Trump ni rais wa Amerika elewa hivyo na kwa taarifa yako he is doing a very good job kiuchumi,jiulize rais wa kwako ameifanyia nini nchi yako?kila kikicha ni kupokea wapinzani as if ni wakimbizi kutoka nchi nyingine!!
Ohoo.
 
Hana qualities zozote za kuwa rais wa taifa kubwa kama lile. Kinachosaidia ni kuwa kuna checks and balances zinazofanya kazi kweli kweli vinginevyo USA ingelikuwa kama Tanzania, Rwanda, Burundi and many other shithole countries!
Ili awe rais wa marekani
 
Ili awe rais wa marekani

Kwa hiyo wazazi wako walikuzaa uwe mtoto wao basi, hawana mategemeo yoyote toka kwako zaidi ya kukuzaa, sorry usichukie, ni kudadisi kwa kuuliza maswali
 
Hana qualities zozote za kuwa rais wa taifa kubwa kama lile. Kinachosaidia ni kuwa kuna checks and balances zinazofanya kazi kweli kweli vinginevyo USA ingelikuwa kama Tanzania, Rwanda, Burundi and many other shithole countries!
Hebu kwanza tutajie sifa zinazofaa mtu awe nazo ili afae kuwa rais wa marekani. Haya majibu yanayotolewa yote yanazungukazunguka tu
 
Kwa hiyo wazazi wako walikuzaa uwe mtoto wao basi, hawana mategemeo yoyote toka kwako zaidi ya kukuzaa, sorry usichukie, ni kudadisi kwa kuuliza maswali
Kama hutaki kumjibu mtu si ukae kimya tu. Sasa wazazi wake wanahusika vipi na rais wa marekani. Mbona sisi wasichana wenzio tumekaa kimya tu tunakuna nazi zetu. Kapake wanja huko.
 
Kwa wingi wa kura (wananchi) wamarekani walimchagua Hilary, lakini kuna kitu kinaitwa electoral college (aina fulani ya wawakilishi kutoka kila jimbo) kilimchagua Trump. Ni system flani ya kushangaza hivi
Swali alilouliza mleta uzi ni nini kiliwafanya wamarekani wamuweke tramp uraisini kwa mtindo wowote walioutumia? Hakuuliza mtindo uliomuweka tramp madarani.
 
wamerekani kama wamerekani hawakumchagua trump.. kwa wingi wa kura za wananchi alishinda Clinton ila trump akabebwa na elector colledge votes.... syteam ambayo naona inapingana na demokrasia wanayoipigia kelele
Huwezi kusema electoral vote system sio demokrasia wakati hakuna mmarekani aliyewahi kuleta petition kuwa hiyo sio democracy akakubaliwa. Ni wewe uliyesikia habari ya demokrasia hivi juzi ndo unataka kuhamisha magoli ili ushinde
 
nina ielewa vizuri sana hyo systeam inavyofanya kazi na hadi sababu za kwann iliwekwa... ila nilichoongelea hapo ni ile majority vote ya wananchi tumezoea wengi wape na siyo kuangalia umeshinda jimbo gani na kwa kura ngapi.... mimi ninavyoelewa demokrasia ni wengi wape kwangu mimi huo systeam siyo demokrasia kabisa
Mfano katika states 50 Mimi nichaguliwe na states 30 wewe uchaguliwe na states 20, lakin zikijumlishwa kura za states zote ww unanizidi kura.kwa akili ya kawaida Je nan mwenye uhalali ya kuwa kiongoz wa states zote?
 
Mfano katika states 50 Mimi nichaguliwe na states 30 wewe uchaguliwe na states 20, lakin zikijumlishwa kura za states zote ww unanizidi kura.kwa akili ya kawaida Je nan mwenye uhalali ya kuwa kiongoz wa states zote?
Mwenye states 30
 
Mfano katika states 50 Mimi nichaguliwe na states 30 wewe uchaguliwe na states 20, lakin zikijumlishwa kura za states zote ww unanizidi kura.kwa akili ya kawaida Je nan mwenye uhalali ya kuwa kiongoz wa states zote?
Mwenye uhalali ni wa states 30 kama katiba yao inaelekeza hivyo
 
Kama hutaki kumjibu mtu si ukae kimya tu. Sasa wazazi wake wanahusika vipi na rais wa marekani. Mbona sisi wasichana wenzio tumekaa kimya tu tunakuna nazi zetu. Kapake wanja huko.
Unafanya kosa hilo hilo, kama huna la kunijibu si unyamaze ukune nazi. Kwani wewe najua jinsia yangu, afterall kukuna nazi to me is not an issue. Kwa mtu wa pwani that could make a great cultural insult, not to me anyway!
 
Back
Top Bottom