kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,127
- 24,429
Mnisaidie kwa hili, sahivi nchi nyingi zina mafuta hata hawajui wayapeleke wapi
Na nchi nyingi wanazidi kugundua mafuta kila uchwao
Na nchi nyingi mafuta yameshuka bei sana
Hapa kwetu bei inazidi kupanda tu
Hivi hii nchi ina laana gani? Hawa maccm ni wazima kichwani kweli?
Na nchi nyingi wanazidi kugundua mafuta kila uchwao
Na nchi nyingi mafuta yameshuka bei sana
Hapa kwetu bei inazidi kupanda tu
Hivi hii nchi ina laana gani? Hawa maccm ni wazima kichwani kweli?