Hivi kwanini sisi wanaume wafupi hatupendwi na wanawake?

Mimi Siamini Kama Ufupi Wa Mwanaume Unamkosesha Kupata Mwenza! Mbona Mimi Kaka Zangu Wawili Kati Ya Watano Ni Wafupi Na Ndo Stable Marriages Hadi Raha Tena Wake Zao Ni Bomba Ile Mbaya ! Kuliko Hata Hawa Warefu?
 
Hyu jamaa haongelei ufupi huu tuujuao bali ni Ule unaofichwa

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Pole yako mdau,lakn ikumbukwe watu wa jamii yako mostly wana vijimaneno sana,wajuaji sana,yani inakua vigumu kuwavumilia lakn kubwa kwako tafuta fedha,kua smart watakuja wenyewe
 
Jaman mie naomb kupandia hapahapa,mie ni mrefu alaf kdgo nmejaa,tatizo langu napendwa na videm vidogo vidgo wale saiz yangu hata uwa cjisumbui hatanitaki,hii imekaaje wadau?

Matatizo menginee yanachekesha kweli,vibint vidogo vya umri gani ndo vinakupenda?btw si ndio safi we ulitaka upendwe na unaelingana nae ili iweje
 
embu naomba kuuliza maana sielewi kila nikitongoza madem wananiangalia tokea chini hadi juu alafu wananisonya then wanaondoka daah hii hali inaniskitisha sana sina raha kabisa jinsi ninavyodharauriwa hadi muda mwingine nafikiria kujitoa uhai huu mwaka wa 27 sijawah ishi na mwanamke hakuna anayenitaka wana jf ushauri wenu tafadhari nakosa raha kabisa ndugu zangu

Mhh kuna ukweli flani kwamba wanaume wafupi wenye vimwili vidogo hawawavutii sana wadada hasa wadada wa mjini walio wengi, isipokuwa kwa wenye true love tu. Mwanaume unapokuwa na kamwili kama ka kuku alafu uwe mfupi hiyo ni weak point tayari. Eti wanasema utaharibu uzao wake. Mkaka aliyepanda mita huwa yuko kwenye hali nzuri ya ushindani.

Huna jinsi ndio Mungu alishakuumba hivyo mfupi anajua alichokuandalia. Vuta subira siku yako yaja ila tu usichague sana, ukiona atakaekupenda mthamini kwa moyo wako wote.
 
Tatizo uko desparate au haunotice wanaokuadmire na kuwafuata wanaohusudu looks kuliko utu.
Kuna mawili:-
1. Tulia, sali na wait for God's time n choice au
2. Tafuta pesa mingi, ili pesa iwe kivutio (hii ni very artifiacial way as bado as a person hupendwi bali kile ulichonacho).
 
Tatizo uko desparate au haunotice wanaokuadmire na kuwafuata wanaohusudu looks kuliko utu.
Kuna mawili:-
1. Tulia, sali na wait for God's time n choice au
2. Tafuta pesa mingi, ili pesa iwe kivutio (hii ni very artifiacial way as bado as a person hupendwi bali kile ulichonacho).

Ubaya ni kwamba mtu anajijua ni mfupi ila hataki kuwapenda wale wanaompenda anabaki anang'ang'aniza wale anaowapenda lakini hawavutiwi nae. Kuna kikaka ni kifupi na kiduchuuu, kilikuwa kinakimbiwa hivyo hivyo basi kikatafuta hela sasa hili wanawake wanajipanga sema wakishakionja bado wanapiga nje kwa magiant. jaman ufupi na udogo wa umbile kwa wawanaume kuhalisia ni tatizo la taifa.
 
embu naomba kuuliza maana sielewi kila nikitongoza madem wananiangalia tokea chini hadi juu alafu wananisonya then wanaondoka daah hii hali inaniskitisha sana sina raha kabisa jinsi ninavyodharauriwa hadi muda mwingine nafikiria kujitoa uhai huu mwaka wa 27 sijawah ishi na mwanamke hakuna anayenitaka wana jf ushauri wenu tafadhari nakosa raha kabisa ndugu zangu

Dating na choices zina age na age .kati ya miaka 15 mpaka 24 mwanaume atataka mwanamke mweupe,sister du,Geti Kali ,baba ake au mama ake ndio nani mambo kibao a mwanamke atataka mwanaume mrefu ,brother men ,baba yake ni huyu mama ,anagari au tena la aina gani ,. 24 mpaka 28 desperate times anybody available let's get married hapo mtu hajali ufupi,urefu na hapo wadada wengine wanalea Wanaume wengine wanazaa tu. Miaka 28 mpaka 35 that is a critical moment kila mtu kashamaliza shule kazi nzuri na unamaisha yako ,unakuwa mwangalifu kweli kweli na uamuzi wa ndoa na watu Hawa huwa wanauwezo na wanaoana kwa malengo na most of the time mapenzi ya kweli maana kila mtu Ana maisha yake mpendane na muheshimiane hapo hamna ufupi wala urefu . Kwanza mwanaume Akioa akiwa anamiaka 40 anakuwa better father husband and a provider ndio maana Wanaume huwa Hawana haraka ya kuoa ila wanawake sisi duh inakuwa Checheli .Wanaume wengi ambao wako na maisha mazuri na familia wameoa wakiwa na 35 years old above .Kwa hiyo ufupi sio sababu
 
Nimekupenda bure Mrembo by Nature manake nshaanza kujihofia na ufupi wangu huu..umenipa mahope!..Uzuri na mie sio dot com

Hahahaha mie sipendwi bure bana, khaaa kumbe na wewe ndo wale wale team chifupi, hahah kweli market yenu iko limited kwa wenye true love tu. Kuna baba ni mfupi sana alioa enzi za mwalimu kabla ya dotcom, basi mkewe toka dotcom ianze hataki hata kuongozana nae, mke anapigwa nje balaa, mke anapenda ongozana na wale wanaume wenye sifa za urefu, giant n.k kuliko kuongozana na mumewe, ati anamtia aibu! ni ngumu kumesa lakini ndio ukweli.
 
embu naomba kuuliza maana sielewi kila nikitongoza madem wananiangalia tokea chini hadi juu alafu wananisonya then wanaondoka daah hii hali inaniskitisha sana sina raha kabisa jinsi ninavyodharauriwa hadi muda mwingine nafikiria kujitoa uhai huu mwaka wa 27 sijawah ishi na mwanamke hakuna anayenitaka wana jf ushauri wenu tafadhari nakosa raha kabisa ndugu zangu

Mimi napenda kujua ufupi wako umeanzia wapi...?
 
Ha ha ha ha ha ..umenifurahisha kuwa hupendwi bure..lolz...usijali ntabadilisha strategy..ila kumbuka 'ufupi' au 'urefu' ni relative term...Kuhusu huyo alompenda mumewe hadi wakaoana halafu sasaivi hamtaki waongozane anafanya makosa makubwa kwa kweli...Wakati mwingine yatupasa kukubaliana na hali halisi tu....vinginevyo ni kujipa mistress tu!!!
If ain't broken don't fix it bana!

Hahahaha mie sipendwi bure bana, khaaa kumbe na wewe ndo wale wale team chifupi, hahah kweli market yenu iko limited kwa wenye true love tu. Kuna baba ni mfupi sana alioa enzi za mwalimu kabla ya dotcom, basi mkewe toka dotcom ianze hataki hata kuongozana nae, mke anapigwa nje balaa, mke anapenda ongozana na wale wanaume wenye sifa za urefu, giant n.k kuliko kuongozana na mumewe, ati anamtia aibu! ni ngumu kumesa lakini ndio ukweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom