Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

Ritz

Huyo mwandisho amemwita Dr. Nyerere akiwa anatoa wasifu wa mwalimu tayari akiwa ni marehemu. Hakumwita katika uhai wake. Hivyo sioni bado mantiki ya hoja yako.

Kikwete Dr. Imelazimishwa na inner circle ya ccm kuwa ni lazima jina lake liane na utambuisho wa Dkt. Ili aonekane ni msomi wa level hiyo. Lkn pia udaktari wake ulitengenezwa kisiasa ndio maana alienda kupewa Udom chuo ambacho kilikuwa hakijatoa hata phd moja ya darasani.
Mkuu nikuwekee akiitwa dr kabla ya kifo chake?
 
Ritz anajaribu kuandika historia upya. Lakini hawawezi. Wamejaribu kuua legacy ya Mwalimu leo inawasuta. Wametafuta vyeo kila mahali duniani eti Dr. eti Profesa, eti mheshimiwa lakini bado hawafikii level ya Mwalimu. Kikwete will go down in history as the worst president Tanzania ever had. It is sad.
Najaribu vipi wakati imeishaandikwa hiyo historia yenu ya kivukoni mtabaki nayo nyie.
 
Najaribu vipi wakati imeishaandikwa hiyo historia yenu ya kivukoni mtabaki nayo nyie.

Usiwe mjuaji hata usivyovijua unataka ulazimishe na upotoshe watu tu hapa.unaweka mabandiko ya kumuita dr wkt tayari alishatangulia mbele ya haki.inafahamika wazi kuwa mwl. Alikuwa anakomaa aitwe hivyo hivyo na si vinginevyo na ikitokea ameitwa basi ni vile mwandishi kajiskia lakini si officially km muitwaji kakubali..kubali ujifunze na vya wengine ndio uungwana tuliolelewa huo.
 
uzuri wa nyerere alikua na washauli wazuri na sio vigeu geu na wasaka tonge kama hawa wa jk ambao humshauli shit tu wakati wote naye anaona sawa
 
Mkuu huyo mwandishi aliondika hiyo habari alikuwa anamuita Nyerere Dr ni James Robbins wa BBC.

Sijui kama anatoka pwani labda Pwani ya Bristol Uingereza.

Nadhani umejifunza kitu.
Tafuta speech yoyote yake au iliyoandikwa na ikulu ikimtaja prof. Nyerere kama utapata, hata hao waliomuita kwa kulazimisha alipogundua ameitwa hivyo alipinga on the spot.

All in all katika tàsnia ya elimu na uelewa huwezi mlinganisha Nyerere na Kikwete mengine ni ubishi wa kawaida tu.


PIGA KURA YA HAPANA KWA KATIBA PENDEKEZWA
 
Mkuu soma hii kiduchu kutoka BBC kisha takuwekea zingine.

Dr Julius Nyerere, who has died aged 77, led the former British protectorate of Tanganyika to independence in 1961, becoming its first prime Minister and later its first president.His country was withdrawn from British rule without violence and with comparatively little racial bitterness. Dr Nyerere acquired in the process the reputation of being a moderate, an idea that was encouraged by his personal modesty and his preference for Western values.





Teh teh teh

hii habari inaonesha iliandikwa baada ya kifo chake. Humjui Mwalimu wewe.
 
Apate U Profesa kwa lipi ?
Nini amefanya kustahili heshima ?
Alupewa nchi ikiwa na system na mifumo mizuri kuindeleza.
Badala yake akaivuruga na kuleta ujinga wa kikomonisti
Akalazimisha fikra zake peke yake kama cimrade Mao
Nchi aliikuta ikijito sheleza chakula lakini aliiacha ikiwa hoi
Mfumo mzima wa kilimo wa ujima na vijiji ukafa na nchi ikawa chakula kwa mgao kwa wiki na foleni.
Elimu ilikufa kabisa kwa kushabikia sylabas za kikomonisti
Haki za binadamu zilivunjwa
Watu wakitiwa ndani bila hatia
Kwa ufupi ni failure ameiacha nchi nyuma sana ya wenzetu Kenya na Uganda.
Sasa wakati huu ndio tunajaribu kukimbia lakini kuwakuta sio rahisi maana ile miaka 25 alokaa ni hasara tupu.
 
Chanzo cha jk kupewa uprofesa china. Ni baada ya kusaini mikataba 21 kwa dakika moja. Bila hata kuipitia means alijua kilichomo. Rais wa uchina akasitaajabu uwezo wa jk fasta akampatia uprooo
Sio siri una akili sana kamanda, wetu ni kama goroli haina break mpaka igonge ukingo
 
Ritz

Acha kutishia nyau. Weka hapa ushahidi. Hatutaki uprofesa wa kypewa baada yakuwa umegawa gesi kwa mtutu. Harafu utwambie huyo prof. wa china ni chuo gani chenye maana ambacho kimempa heshima. Hata hapa kwetu Tanzania vyuo vilivyonaheshima kipi kimetambua mchango wake?
 
Ritz

Acha kutishia nyau. Weka hapa ushahidi. Hatutaki uprofesa wa kypewa baada yakuwa umegawa gesi kwa mtutu. Harafu utwambie huyo prof. wa china ni chuo gani chenye maana ambacho kimempa heshima. Hata hapa kwetu Tanzania vyuo vilivyonaheshima kipi kimetambua mchango wake?

Vyuo ni vingi pale China, kuna vyuo vya kuuza unga baadae ukiteleza inabidi ulipe then unakuwa prof.
Vyuo vya kuuza pembe za ndovu unakuwa prof.
Vyuo vya kuuza gas, madini, wanyama unakua Dr Prof JK.
Duniani kuna vyuo vingi, ukiwa Vasco unazurura tu duniani hovyohovyo unakuwa Prof.
Now in uholanzi anaenda kutunukiwa sijui heshima gani ambayo ni top of prof nadhani atatunukiwa heshima ya kuwa Mungu.
 
Chanzo cha jk kupewa uprofesa china. Ni baada ya kusaini mikataba 21 kwa dakika moja. Bila hata kuipitia means alijua kilichomo. Rais wa uchina akasitaajabu uwezo wa jk fasta akampatia uprooo

My God!!
 
Inawezekana umri wenu ni mdogo Nyerere mbona alikuwa anaandikwa Prof wakati wa utawala wake.
Hivi Prof. JK ameandika kitabu gani au andiko gani la kisomi vile? Sijasikis hata mara moja tangu awe Raisi kuwa ametoa mhadhara Chuo Kikuu chochote humu nchini! Anayejua anijuze tafadhali!
 
Apate U Profesa kwa lipi ?
Nini amefanya kustahili heshima ?
Alupewa nchi ikiwa na system na mifumo mizuri kuindeleza.
Badala yake akaivuruga na kuleta ujinga wa kikomonisti
Akalazimisha fikra zake peke yake kama cimrade Mao
Nchi aliikuta ikijito sheleza chakula lakini aliiacha ikiwa hoi
Mfumo mzima wa kilimo wa ujima na vijiji ukafa na nchi ikawa chakula kwa mgao kwa wiki na foleni.
Elimu ilikufa kabisa kwa kushabikia sylabas za kikomonisti
Haki za binadamu zilivunjwa
Watu wakitiwa ndani bila hatia
Kwa ufupi ni failure ameiacha nchi nyuma sana ya wenzetu Kenya na Uganda.
Sasa wakati huu ndio tunajaribu kukimbia lakini kuwakuta sio rahisi maana ile miaka 25 alokaa ni hasara tupu.
Unadharau uongozi wa Nyerere wakati wengine wanalilia wafananishwe naye kwenye mbio za urais,
"Mimi ni Nyerere wa pili" Mwigulu.


PIGA KURA YA HAPANA KWA KATIBA PENDEKEZWA
 
Ritz

Acha kutishia nyau. Weka hapa ushahidi. Hatutaki uprofesa wa kypewa baada yakuwa umegawa gesi kwa mtutu. Harafu utwambie huyo prof. wa china ni chuo gani chenye maana ambacho kimempa heshima. Hata hapa kwetu Tanzania vyuo vilivyonaheshima kipi kimetambua mchango wake?
Mkuu toka lini mimi nikatisha watu! Soma hii hapa chini.
Just twenty years ago, Dr Julius Nyerere -- already the outstanding political figure in his country -- became president of what was then called Tanganyika. It was the first British-ruled territory in East Africa to achieve independence. Its development into the United Republic of Tanzania of today has been largely his creation.SYNOPSIS: Julius Nyerere's leadership has been described as "wise and dynamic". But his programme for economic development in Tanzania on socialist lines is now facing a serious crisis. Dr Nyerere said recently that Tanzanians were poorer now than they were a decade ago. The nations; economy has been stricken by the world recession and by falling production.On December 9, 1962, Tanganyika became a republic and Dr. Nyerere the first president. One year earlier -- after being elected Prime Minister -- he celebrated the birth of the new sate... In honour of "Uhuru", meaning Freedom, the lights blaze out over the capital, Dar-es-Salaam...Nyerere and his Tanganyika African National Union were firmly in power.Tanzania was formed in 1964 from the union of Tanganyika and Zanzibar. President Karume of Zanzibar became first vice-president of the united republic. Eight years later he was assassinated.Independence achieved, President Nyerere started to build socialism in Tanzania. Hard work, self-help and education were what Tanzania had to rely on. The focal point of his rural socialism is the "???jamaa" or cooperative village. These communities have spread fast throughout the country.But big projects like the Tanzania-Zambia railway needed foreign capital. The Chinese government built the railway, enabling Zambia to export its copper without sending it through the former British colony of Rhodesia, now independent Zimbabwe. The massive project was inaugurated in 1970. Three years later, the railway was through to Zambia's border.During a visit to China in 1974, President Nyerere told the late Chairman Mao Tse-tung that African states were forced to choose socialism as their goal. He said this was because "capitalism was incompatible with their commitment to national independence and individual equality." Another visit abroad took the Tanzanian president to London in 1975 to talk about the Rhodesian dispute and other problems. It was Nyerere's first visit to Britain since Tanzania's independence in 1961.In 1979 -- shortly after President Nyerere's troops fought in Uganda against the Idi Amin regime -- his country was visited by Britain's Queen Elizabeth. It was part of controversial tour of black African nations -- many of them opposed the breakaway British colony of Zimbabwe. But the Queen's visit was essentially non-political.Another colourful event, this time in Zanzibar. Tanzania's Vice-President Jumbe attended a ceremony in 1980 opening the island's new House of Representatives. After being ruled by Tanzania for nearly 16 years, Zanzibar now had its first elected parliament.And there was jubilation in Dar-es-Salaam that year when Julius Nyerere took the presidential oath to remain Tanzania's leader. But he said it would be his last five-year term. Since then he has continued to work for African unity.In 1981, three presidents: Milton Obote of Uganda.

Hii ilikuwa mwaka 1981 kuna wengine humu walikuwa bado hawajazaliwa.
 
Utakuwa una umri zaidi ya Kingunge wewe.
eeenhe, hebu tuhadithie
Dogo nakushauri uwe msomaji utajifunza kitu Kingunge masikini ya Mungu wala hayumo kwenye waliotafuta uhuru.
 
Back
Top Bottom