manchoso
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 1,606
- 2,055
TFF naona wameanza kuwaandalia Simba viporo visivyo na sababu
Mie nadhani Azam waliocheza jana walikuwa na haki zaidi ya kuomba kupumzika kuliko makolo sababu Pyramid ni timu bora na ngumu kuliko Jwaneng Galaxy [huu ndo ukweli japokuwa shirikisho linaonekana kombe dhaifu kuliko klabu bingwa].
Mbona tunaona wenzetu ulaya wakati mwingine timu inacheza mechi 3 mfululizo tena ngumu na hawanaga mambo ya kulialia kama hawa makolo, waweza kuta liverpool anapiga uefa na madrid jumatano jumamos anapiga ligi na man u na jumatano tena anarudiana na madrid hususan hatua za nusu fainali.
wachezaji wenyewe wakumpumzika wako wapi??unaweza kuta badala ya kupumzika wanakwenda kwa mpalange.
Hata kama wameomba nadhan ni mda sasa TFF waache kulea huu upuuzi
Mie nadhani Azam waliocheza jana walikuwa na haki zaidi ya kuomba kupumzika kuliko makolo sababu Pyramid ni timu bora na ngumu kuliko Jwaneng Galaxy [huu ndo ukweli japokuwa shirikisho linaonekana kombe dhaifu kuliko klabu bingwa].
Mbona tunaona wenzetu ulaya wakati mwingine timu inacheza mechi 3 mfululizo tena ngumu na hawanaga mambo ya kulialia kama hawa makolo, waweza kuta liverpool anapiga uefa na madrid jumatano jumamos anapiga ligi na man u na jumatano tena anarudiana na madrid hususan hatua za nusu fainali.
wachezaji wenyewe wakumpumzika wako wapi??unaweza kuta badala ya kupumzika wanakwenda kwa mpalange.
Hata kama wameomba nadhan ni mda sasa TFF waache kulea huu upuuzi