Hivi kwanini mechi kati ya Simba na Polisi imeahirishwa?

Timu lisiloeleweka lishatolewa hatua za awali huko caf. Unaongelea mifano ya ulaya wakati timu lako hayaishi hata robo tu ya huko ulaya.Timu lako linaamini ushirikina kwa kutopita geti rasmi kuingia uwanjani. Utopolo wacha kulia lia TFF wanajua wanacho kifanya.
TFF kama CCM tu hakuna cha maana walichoifanyia nchi hii toka uhuru
 
Ila kamlio ka Anthem ya mechi za klabu bingwa katamu. Kuna jamaa zetu wanakasikia kwa jirani tu
zilipendwa hizo mkuu hako kamlio utakaona kero kwa hiyo aibu mtakayotuletea kwenye makundi.

simba ya mwaka jana ndo ina hadhi ya kucheza klabu bingwa.

Hii simba ya msimu huu hata shirikisho haiwafai.

labda kidogo mapinduzi cup mana mabingwa kule tutapeleka kikosi cha pili
 
Hujaleta hoja kistaarabu.Unawalaumu simba kwani simba ndio wanapanga ratiba?
Lazima kwa namna moja ama nyingine wanahusika na kughairishwa mechi
mbona Azam jana wamecheza ina maana wao hawataki mapumziko?
 
ila yanga ndo Kuna kitu kimataifa?
sie tumetolewa ila nyoyo zetu bariiiiid kwa sababu tunajua timu yetu ni bora kuliko rivers kutolewa ni ajali tu kama ajali iliyowakuta nyie kwa UD Songo japokuwa mlikuwa na timu nzuri msimu ule
 
sie tumetolewa ila nyoyo zetu bariiiiid kwa sababu tunajua timu yetu ni bora kuliko rivers kutolewa ni ajali tu kama ajali iliyowakuta nyie kwa UD Songo japokuwa mlikuwa na timu nzuri msimu ule
Mmetolewa kwa ajali wapi wakati mlijipanga zaidi kwa ajili ya ngao ya jamii na sio mechi za klabu bingwa manyani mna shida sana
 
Ndio ujuage simba ni kubwa kuliko hao mamelod

Screenshot_20211020-092821_Instagram.jpg
 
sie tumetolewa ila nyoyo zetu bariiiiid kwa sababu tunajua timu yetu ni bora kuliko rivers kutolewa ni ajali tu kama ajali iliyowakuta nyie kwa UD Songo japokuwa mlikuwa na timu nzuri msimu ule
Leo ndo nimeamin kumbe Kweli Ni Kikwete Na Mzee manala Tu Hakuna mwingine
 
TFF NA MAKOLOKOLO FC NI MASWAHIBA. TFF ANAMRUNDIKIA VIPORO SWAHIBA MAKOLOKOLO ILI BAADAYE, ZILE TIMU AMBAZO HAZIWANII UBINGWA WALA HAZISHUKI DARAJA, ZINAPANGA MATOKEO NA MAKOLOKOLO FC ILI KUENDELEZA BACK TO BACK.
 
Hivi unajua kwamba mamelodi wanavaa jezi za njano kama brazili au kama yanga
Kwa hiyo una maanisha katika timu zinazo vaa jezi za njano, ni yanga peke yake ambayo ni mbovu?

Katika hizo timu kuna ambayo ishawahi tembeza bakuli ukiachana na uto?
 
Kwa ligi yetu wacha Simba iombe tu mda ,wale key players wanaweza kuumizwa,mfano ile mechi na Dodoma Jiji baada ya siku 3 wangeenda kucheza kimataifa unadhani wale majeruhi wangekwepo?

Tena Polisi ndo wacheza rafu unataka timu nzima iumizwe ikose wachezaji ?
 
Simba sio kwamba inapenda kurundikiwa viporo lahasha!! tatizo ni ile mopango yenu michafu ya kutaka kutuumizia wachezaji wetu kabla hawajacheza match za kimataifa
 
zilipendwa hizo mkuu hako kamlio utakaona kero kwa hiyo aibu mtakayotuletea kwenye makundi
simba ya mwaka jana ndo ina hadhi ya kucheza klabu bingwa
Hii simba ya msimu huu hata shirikisho haiwafai
labda kidogo mapinduzi cup mana mabingwa kule tutapeleka kikosi cha pili
Maneno ya mkosaji haya
 
TFF naona wameanza kuwaandalia mikia viporo visivyo na sababu

Mie nadhani Azam waliocheza jana walikuwa na haki zaidi ya kuomba kupumzika kuliko makolo sababu Pyramid ni timu bora na ngumu kuliko Jwaneng Galaxy [huu ndo ukweli japokuwa shirikisho linaonekana kombe dhaifu kuliko klabu bingwa]....
Tatizo Yanga hamkutaka kujua nini kinawafanya Simba wasicheze wakiwa na mechi za Kimataifa. Mngejitahidi basi hata kufika round ya 1!
 
Kwani viporo vinakuwa na point 6? Nyie shindeni mechi zenu zote, viporo vya Simba vitachacha tu.
 
Mechi za Simba zisilinganishe na mechi za Azam na Biashara ambao wanacheza ligi ndogo ya Shirikisho.

1. Simba ina cheza Club Bingwa Afrika.

2. Simba ni giant team hapa barani Africa Africa na inatambulika hata na CAF ndio maana hawajaanzia hatua za mtoano kama Utopolo.

3. Simba ndio iliyowafanya Utopolo na Biashara united kushiriki ligi ya mabingwa bila kuwa na Sifa.

NB, ni ajabu timu zilikuwa nne zinazoshiriki kimataifa. anayelalamika ni Utopolo tu, ambayo ndio timu mbovu kuliko zote zilizoshiriki michuanio hiyo na kutolewa hatua ya awali kabisa na kufungwa nje ndani na bila kupata hata goli moja la kufutia machozi.
 
Back
Top Bottom