kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
Wakuu ni kwanini tu kanisa lisiruhusu waumini kuoa mke zaidi ya mmoja? Maana kusema kweli watu wengi wanaishia kuwa na vimada wengi nje ya ndoa.
Sio hayo tu, kwa taratibu za ndoa za kikristo ni kuwa hakuna kuachana labda kifo kiwatenganishe, means kuna watu wanateseka mno kwenye ndoa ishu ya talaka ni mwiba nzito mno usioruhusiwa.
Nina marafiki kadhaa ndoa zimekua mzigo kwao, hawana machaguo, mtu anapitia mateso makali sana na ukizingatia ndio hakuna kuachana jamaa wanapigwa na msongo mkali sana wa mawazo.
Mwingine anawaza watoto wake itakuaje, anatamani walau dini ingeruhusu mke zaidi ya mmoja ajiongezee bi mdogo ili walau tu ajue atamanage vipi mambo.
Nasema haya kwasababu sioni sababu yoyote ya kuendelea kuzuia watu kuwa na mke zaidi ya mmoja kihalali kwa ndoa, ukisema eti ni dhambi.
Sioni sababu ya kuzuia mapadri wasioe kwasababu ya kutafuta utakatifu, lakini unakuta hao hao mapadri wengi wanapitia magumu mengi kihisia na wengi unakuta wana familia kisirisiri.
Mwisho, haya mambo ya kidunia ya huko Ulaya, dini kuruhusu hadi ndoa za jinsia moja kufungwa kwanini wasiruhusu tu mtu kuoa?
Kama wanaweza kuruhusu ndoa za wanaume kwa wanaume wanashindwa vipi kuruhusu mwanaume kuoa mke zaidi ya mmoja?Wanashindwa vipi kuruhusu mapadri kuoa?
Nawasilisha.
Sio hayo tu, kwa taratibu za ndoa za kikristo ni kuwa hakuna kuachana labda kifo kiwatenganishe, means kuna watu wanateseka mno kwenye ndoa ishu ya talaka ni mwiba nzito mno usioruhusiwa.
Nina marafiki kadhaa ndoa zimekua mzigo kwao, hawana machaguo, mtu anapitia mateso makali sana na ukizingatia ndio hakuna kuachana jamaa wanapigwa na msongo mkali sana wa mawazo.
Mwingine anawaza watoto wake itakuaje, anatamani walau dini ingeruhusu mke zaidi ya mmoja ajiongezee bi mdogo ili walau tu ajue atamanage vipi mambo.
Nasema haya kwasababu sioni sababu yoyote ya kuendelea kuzuia watu kuwa na mke zaidi ya mmoja kihalali kwa ndoa, ukisema eti ni dhambi.
Sioni sababu ya kuzuia mapadri wasioe kwasababu ya kutafuta utakatifu, lakini unakuta hao hao mapadri wengi wanapitia magumu mengi kihisia na wengi unakuta wana familia kisirisiri.
Mwisho, haya mambo ya kidunia ya huko Ulaya, dini kuruhusu hadi ndoa za jinsia moja kufungwa kwanini wasiruhusu tu mtu kuoa?
Kama wanaweza kuruhusu ndoa za wanaume kwa wanaume wanashindwa vipi kuruhusu mwanaume kuoa mke zaidi ya mmoja?Wanashindwa vipi kuruhusu mapadri kuoa?
Nawasilisha.