Hivi kwanini isitungwe sheria kwa hili?

Bismack

JF-Expert Member
Mar 12, 2018
387
487
Kama mtu akikuibia kitu chako ipo sheria ya kumtia hatiani kwanini isitungwe sheria juu ya hawa wanaochukua wake za watu? mana mtu kawekeza, anaghalamia kila kitu ila mtu anakuja anatongoza anakula utam anasepa, serikali tungeni sheria kabla sijaoa mana ninayoyaona huku kitaa kuna haja ya sheria.
 
Vitu vingine havihitaji vitungiwe sheria,kama ikikutokea na ukabahatika kumkamata mhalifu wako mnamalizana tu
 
Kama mtu akikuibia kitu chako ipo sheria ya kumtia hatiani kwanini isitungwe sheria juu ya hawa wanaochukua wake za watu? mana mtu kawekeza, anaghalamia kila kitu ila mtu anakuja anatongoza anakula utam anasepa, serikali tungeni sheria kabla sijaoa mana ninayoyaona huku kitaa kuna haja ya sheria.
Mbona ipo sheria ya kutembea na mke wa mtu? Ila sio jinai inaangukia kweny madai
 
Kama mtu akikuibia kitu chako ipo sheria ya kumtia hatiani kwanini isitungwe sheria juu ya hawa wanaochukua wake za watu? mana mtu kawekeza, anaghalamia kila kitu ila mtu anakuja anatongoza anakula utam anasepa, serikali tungeni sheria kabla sijaoa mana ninayoyaona huku kitaa kuna haja ya sheria.
kumbe bado hujaoa! nimewaza kwa sauti ukute we ni mtaalamu wa kugegeda wake za watu hahahaha umerefer mambo unayofanya umekivaa kiatu cha upande wapili ukaona haitakua size yako, anaeua kwa upanga atakufa kwa upanga! heheheh. joke!
 
kumbe bado hujaoa! nimewaza kwa sauti ukute we ni mtaalamu wa kugegeda wake za watu hahahaha umerefer mambo unayofanya umekivaa kiatu cha upande wapili ukaona haitakua size yako, anaeua kwa upanga atakufa kwa upanga! heheheh. joke!
Hapana mkuu katika maisha yangu sijawahi kumla mke wa mtu labda kama nilifanya bila kujua, sema moyo hua unaniuma sana napoona mke wa mtu akiliwa. Hii kitu naiogopa sana nimeshawahi kushuhudia jamaa kala mke wa mtu nyeti zake zikapotea mpaka alipoenda kuomba msamaha ndo zililejea
 
Hapana mkuu katika maisha yangu sijawahi kumla mke wa mtu labda kama nilifanya bila kujua, sema moyo hua unaniuma sana napoona mke wa mtu akiliwa. Hii kitu naiogopa sana nimeshawahi kushuhudia jamaa kala mke wa mtu nyeti zake zikapotea mpaka alipoenda kuomba msamaha ndo zililejea
hahahaha, hiyo yakupoteza nyeti dawa nzuri
 
Back
Top Bottom