Bismack
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 387
- 487
Kama mtu akikuibia kitu chako ipo sheria ya kumtia hatiani kwanini isitungwe sheria juu ya hawa wanaochukua wake za watu? mana mtu kawekeza, anaghalamia kila kitu ila mtu anakuja anatongoza anakula utam anasepa, serikali tungeni sheria kabla sijaoa mana ninayoyaona huku kitaa kuna haja ya sheria.