Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,864
- 41,210
Ni hulka ya mtu
Yani umeniudhi sana. Dada wa watu ana kiu we unamtolea nje. Mmepewa vífanyio mnashindwa kuvitumia wakati haviishi. Hiki K na utamu wote ile kuna mwanaume anaisusa?
Mtu asiyeitendea haki K hawezi kuwa rafiki yangu.
Ngoja niende zangu jukwaa la wakubwa nikapunguze Munkari na hasira.
abeee! Umeniita?
Ni rahisi kusema kwa kuwa unanijibu mimi ila hali halisi sidhani kama ingekuwa rahisi hivyo
Nataka uniumize.
Kuna watu wanaudhi sana. Mtoto wa watu kajitahidi kuonyesha hisia akajifanya haelewi, akaamua basi isiwe tabu akasema kabisa mtu anakwambia nkaona ntamuumiza nkamkatalia!!!! Hivi kweli unathubutu kutuelezea wanaume wenzio kabisa kwamba umemkatalia binti!!!!!! Hiki kizazi cha tamthilia hiki!!!!!????
Hahaha kumbe nimekudipu?
Ndo ujue mimi na wewe kuna kitu Mungu katupangia. Hebu twende PM tukaangalie uwezekano wa kuvigonganisha vikojoleo vyetu.
Kwa hiyo hapo hajamuumiza??!! Ye mwenyewe kwenye thread anakiri amemuumiza. Si bora angempa tam yake afanye kuja kuumia badae??? Unafikiri huyo dada anajiskiaje sa hv baada ya kukataliwa???
hahaha! Ujue imebidi nicheke kwanza aisee! Huu unaitwa ushauri mchungu!
hahaha! Sasa babu si itakuwa ajali hiyo vikishagongana!!
Hebu cheki pm pls
Unampa babu kitu?
wee! Unataka bibi anitoe roho! Aku miye!!