Hivi kwanini inakuwa hivi?

Hivi kwanini inakuwa hivi?

penda unakopendawa lakini wewe unapenda unapochukiwa haya ona sasa umemuumiza dada wa watu na muda si mrefu kademu kako anakuacha....... R kelly hakukosea kusema mwanamke anapopenda huwa anapenda kweli umepiga teke keki kweli we sijui nikuiteje aya
 
Yani umeniudhi sana. Dada wa watu ana kiu we unamtolea nje. Mmepewa vífanyio mnashindwa kuvitumia wakati haviishi. Hiki K na utamu wote ile kuna mwanaume anaisusa?

Mtu asiyeitendea haki K hawezi kuwa rafiki yangu.

Ngoja niende zangu jukwaa la wakubwa nikapunguze Munkari na hasira.

Mkuu pole unapenda usipopendwa!!enzi zile walisema "Mpende akupendae asiyekupenda achana nae"
 
Last edited by a moderator:
Mpe nafasi akupendae achana na huyo demu wako wa kitambo unajua ukipata mwanamke anayekutamkia wazi kua ana kupenda ujue anakupenda kweli na hawezi kukuzungua mapenzi yanaanza na mazoea hata huyo unae mpenda ulianza kumtamani kaka
 
Ajali nyingine zinakuwa nzuri kiasi kwamba tunaombea zitokee tu. PM mbona haujafika.

mmmh! Bora basi zigongane hapahapa uwanjani 2taokolewa kuliko huko mafichoni hata ambulensi hamna!
 
Nina mpenzi wangu tuna mwaka sasa katika penzi letu ingawa mwenzangu anaonekana kutonijali kama mimi ninavyomjali yeye ila miezi miwili iliyopita kuna msichana mmoja alitokea kunizoea sana kushinda hata huyu mpenzi wangu,alikuwa akinijulia hali kila inapowezakana kuzidi hata huyu mpenzi wangu Baada ya wiki kadhaa kupita binti huyu aliniambia kuwa angependa tuwe wapenzi kusema kweli hata mimi nilitamani iwe hivyo lakini sikuwa tayari kumuumiza kwani sikuwa na hisia kama zake hivyo basi niliamua kumkalia kimya maana sikupenda kumuumiza kwani alikuwa ananijali sana.Ila leo alinitafuta hewani hivyo sikuwa na jinsi ilibidi tu nimwambie hali halisi ingawa aliumia sana.Ninachojiuliza hapa hivi ni kwa nini mara kadhaa unampenda mtu lakini haonyeshi kukujali je ni kwamba inawezekana kuna mtu wa pembeni au ni hulka ya mtu tu kuwa hivyo?

hahahaha......
Mkuu rekebisha hapo kwenye bold. Utambue kwamba yeye sio mpenzi wako ila wewe ndio mpenzi wake. Mpenzi wako ni huyo unayemkimbia.

Nakupa pole kwa sababu unaonekana rookie kwenye hayo maswala.
 
Yani umeniudhi sana. Dada wa watu ana kiu we unamtolea nje. Mmepewa vífanyio mnashindwa kuvitumia wakati haviishi. Hiki K na utamu wote ile kuna mwanaume anaisusa?

Mtu asiyeitendea haki K hawezi kuwa rafiki yangu.

Ngoja niende zangu jukwaa la wakubwa nikapunguze Munkari na hasira.

hata wewe mkuu dah
 
Na wewe umeshikishwa nini,
Na kama ni hapana umejuaje haya makitu.
......... Heri ya mwaka mpya Asprin.

Huko siasani ndo kumejaa vichwa maji wa kufa mtu. Buku 7 tu dume linashikishwa ukuta wa kisiasa.
 
Last edited by a moderator:
yani umeniudhi sana. Dada wa watu ana kiu we unamtolea nje. Mmepewa vífanyio mnashindwa kuvitumia wakati haviishi. hiki k na utamu wote ile kuna mwanaume anaisusa?

mtu asiyeitendea haki k hawezi kuwa rafiki yangu.

ngoja niende zangu jukwaa la wakubwa nikapunguze munkari na hasira.

cassanova
 
Nini dada, hata mke wangu akikutaka piga mzigo.

eyes.gif
 
Nina mpenzi wangu tuna mwaka sasa katika penzi letu ingawa mwenzangu anaonekana kutonijali kama mimi ninavyomjali yeye ila miezi miwili iliyopita kuna msichana mmoja alitokea kunizoea sana kushinda hata huyu mpenzi wangu,alikuwa akinijulia hali kila inapowezakana kuzidi hata huyu mpenzi wangu Baada ya wiki kadhaa kupita binti huyu aliniambia kuwa angependa tuwe wapenzi kusema kweli hata mimi nilitamani iwe hivyo lakini sikuwa tayari kumuumiza kwani sikuwa na hisia kama zake hivyo basi niliamua kumkalia kimya maana sikupenda kumuumiza kwani alikuwa ananijali sana.Ila leo alinitafuta hewani hivyo sikuwa na jinsi ilibidi tu nimwambie hali halisi ingawa aliumia sana.Ninachojiuliza hapa hivi ni kwa nini mara kadhaa unampenda mtu lakini haonyeshi kukujali je ni kwamba inawezekana kuna mtu wa pembeni au ni hulka ya mtu tu kuwa hivyo?

Punguza mawasiliano na huduma zingine zote kwa 50% kisha utapata jibu baada ya muda
Wanawake hupunguza kitu kinachoitwa mapenzi kwa wenza wao wakishaona wana full acces kwa wenza wao na hujiaminisha kuwa hawawezi kuachwa,hivyo hujipa matumaini hata wakifanya nini hawaachwi

Hebu muoneshe kuwa unaweza kumuacha halafu uone,akisimika ondoka kwenye hayo mahusiano na fanya mambo mengine!!
 
Nina mpenzi wangu tuna mwaka sasa katika penzi letu ingawa mwenzangu anaonekana kutonijali kama mimi ninavyomjali yeye ila miezi miwili iliyopita kuna msichana mmoja alitokea kunizoea sana kushinda hata huyu mpenzi wangu,alikuwa akinijulia hali kila inapowezakana kuzidi hata huyu mpenzi wangu Baada ya wiki kadhaa kupita binti huyu aliniambia kuwa angependa tuwe wapenzi kusema kweli hata mimi nilitamani iwe hivyo lakini sikuwa tayari kumuumiza kwani sikuwa na hisia kama zake hivyo basi niliamua kumkalia kimya maana sikupenda kumuumiza kwani alikuwa ananijali sana.Ila leo alinitafuta hewani hivyo sikuwa na jinsi ilibidi tu nimwambie hali halisi ingawa aliumia sana.Ninachojiuliza hapa hivi ni kwa nini mara kadhaa unampenda mtu lakini haonyeshi kukujali je ni kwamba inawezekana kuna mtu wa pembeni au ni hulka ya mtu tu kuwa hivyo?

zimetimia kweli wewe? Shida yako ni mke au ni kupoozeo?kisa cha wewe kuzoeana na huyo dada ilikuwa ni nini? Mpenzi wako mna mwaka mzima kwa mapenzi ya kusukumana halafu anatokea anayekupenda unamkataa. Ngoja huyo unayejulazimisha kumpenda aende kwa jamaa yake anayempenda urudi utuambie umeachwa
 
Back
Top Bottom