Hivi kwanini inakuwa hivi?

Hivi kwanini inakuwa hivi?

Kweli zamani raha. Sikuwahi kusikia mtu analalamika kuhusu mapenzi ila dot.com generation ni matatizo,wanatoa maisha ya kwenye tamthilia halafu wanataka kuishi hivyo ilhali hakuna maisha kama hayo. Miss chagga,smile embu niambieni tofauti ya mapenzi enzi zile za primary na ya sasa hivi ya secondary
 
kumtumia halafu asiwe nae kama mpenzi kungemuumiza sana huyo dada...bora kafanya alivofanya
Kwa hiyo hapo
hajamuumiza??!! Ye mwenyewe kwenye thread anakiri amemuumiza. Si bora
angempa tam yake afanye kuja kuumia badae??? Unafikiri huyo dada
anajiskiaje sa hv baada ya kukataliwa???
 
hauwezi kuwa siriazi
Yani umeniudhi sana. Dada wa
watu ana kiu we unamtolea nje. Mmepewa vífanyio mnashindwa kuvitumia
wakati haviishi. Hiki K na utamu wote ile kuna mwanaume anaisusa?

Mtu asiyeitendea haki K hawezi kuwa rafiki yangu.

Ngoja niende zangu jukwaa la wakubwa nikapunguze
Munkari na hasira.
 
Last edited by a moderator:
vector-of-a-cartoon-boy-falling-in-love-with-a-girl-while-walking-and-talking-by-ron-leishman-25844.jpg

Haha...picha ako imeeleza vizur...kwel wew taita
 
Back
Top Bottom