Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,351
- Thread starter
- #81
Weh kampani zenu tu basiKwani unataka familia yake au kichinjio chake?
Weh kampani zenu tu basiKwani unataka familia yake au kichinjio chake?
Kampani kwani wewe ndg yetu?Weh kampani zenu tu basi
Umeona eh nitafute tu nikikutania unajaa nakufur kama KobraKampani kwani wewe ndg yetu?
Hakunaga hiyo
Umeona hapo ikabidi uje kunitania🤣 sio kila chakula kinafaa kuliwa Anne.
Ngoja nione kama itawezekana nimuweke huyu unique🤣🤣🤣Ukale tunda usituzuge hapa😆
Wacha weeUmeona hapo ikabidi uje kunitaniasio kila chakula kinafaa kuliwa Anne.
Ile cake kesho asubuhi ufanye wepesi.

Mwaka wa mibaraka huu,Wacha wee
Unachagua tu,kweli mwaka umekuja na Baraka.
Ukifika stand ya mwendokasi nistue
Keki ya jana ipo tu,hakuna anayehangaika kula.Watu wamechoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka wa mibaraka huu,
Nipe namba zako kabisa kesho saa moja kamili nakuwa hapo stand.

😁😁 Wako against!Kweli najaribu kuwaambia wanadai mie Sina maadili siwapendi na maneno mengiii