Hivi kwanini hii hali haibadiliki

Hivi kwanini hii hali haibadiliki

Mamboo , yaani unanukiaga poda nzuri tu yaani mbaya halafu hauko pekee Yako upo na best Yako ERoni
Kuna kitu hakiko sawa Kwa mtoa mada,Napenda kutoa pole Kwa familia na jamii inayo mzunguka.



NB:Hii ni baada ya kupitia comment zote kwenye huu Uzi.
 
Yeah, na uzee huu ni lazima kunukia vizuri Unique, unyunyu kama kawaida. Ila mimi ndio mzee tu
Ahaha kakasirika mwenzio Sana Kisa poda nahisi kahisi poda niza mashoga ila pole zake .
 
Kuna kitu hakiko sawa Kwa mtoa mada,Napenda kutoa pole Kwa familia na jamii inayo mzunguka.



NB:Hii ni baada ya kupitia comment zote kwenye huu Uzi.
Nafuu wewe unaakili nzuri ndio maana unasoma comment zangu
 
Back
Top Bottom