Hivi kwanini hii hali haibadiliki

Hivi kwanini hii hali haibadiliki

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,841
Reaction score
25,351
Nimiaka Sasa bado wanaume wenye sura nzuri,ongea Yao na tembea Yao na mavazi huwadatisha wanawake hata watu wazee wanaume Kwa wanawake wanakushauri uolewe na Fulani nasio Fulani ambaye yupo yupo tu hata kama anahela .

Hii imekuwa inawagusa wanaume wengi kweli kwasababu hawavai nguo vyema. Au hawawi wasafi.
Inawatesa moyo hivi unajua kupendeza ndio kupata utakacho Kwa urahisi??🥰

Kama mnashusha mapovu fine.

Jingine unajua kuwa kila aliyenagari ni rahisi kufanikishia vitu kiasi Fulani??

Unakuta wewe ni msupuu ila Kisa wapanda Toyo unakaushiwa tu Wala Huna gundu
 
Nenda bafuni chukua Dettol ujisafishwe kishe uje uendelee hali sio nzuri kitu kinatema vibaya,
 
Mwandiko wa mtoa mada umeenda shule, learn to make sentences.
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Nimiaka Sasa bado wanaume wenye sura nzuri,ongea Yao na tembea Yao na mavazi huwadatisha wanawake hata watu wazee wanaume Kwa wanawake wanakushauri uolewe na Fulani nasio Fulani ambaye yupo yupo tu hata kama anahela .
Naomba kuuliza, mpaka hao watu wazee wanakushauri, olewa na fulani, na sio fulani, inamaana unakuwa umepeleka wanaume wawili home?

Kama ndio kwanini? Kama hapana, how come mtu assugest fulani ambae sio uliyemtambulisha?
 
Naomba kuuliza, mpaka hao watu wazee wanakushauri, olewa na fulani, na sio fulani, inamaana unakuwa umepeleka wanaume wawili home?

Kama ndio kwanini? Kama hapana, how come mtu assugest fulani ambae sio uliyemtambulisha?
Watu wajf mnashangaza sana mie natoa mifano nyie mnamsema ni mie
 
Back
Top Bottom