Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,515
Wakuu mliobobea kwenye Masuala ya Uchumi Naomba mnisaidie hapa.Sote tunafahamu kuwa thamani ya Shilingi yetu imeshuka kwa kasi sana.
Wataalam mbalimbali wametoa sababu kadhaa Ikiwa ni pamoja na Kuingiza zaidi bidhaa za nje kuliko sisi kuzipeleka nje bidhaa zetu.
Pamoja na sababu mbalimbali;Swali langu ni hivi Juzi nilikuwa Burundi pale mpakani Pesa yetu ipo chini wakati Faranga ya Burundi ipo juu,sasa kwanini inakuwa hivyo wakati nchi yao ipo kwenye Machafuko hivyo hawazalishi?
Aidha wale jamaa tumewazidi ki-viwanda yaani karibia asilimia tisini ya vitu vya viwandani vinatokea kwetu,Kwenye upande wa Chakula ndio usiseme,yaani mimi ninashangaa kwanini Faranga yao ipo juu wakati wao tunawazidi kwa kila kitu?,
Siku nimeenda walikuwa wana-chenji Shilingi mia kwa Faranga 92,
Nawasilisha wakuu.
Wataalam mbalimbali wametoa sababu kadhaa Ikiwa ni pamoja na Kuingiza zaidi bidhaa za nje kuliko sisi kuzipeleka nje bidhaa zetu.
Pamoja na sababu mbalimbali;Swali langu ni hivi Juzi nilikuwa Burundi pale mpakani Pesa yetu ipo chini wakati Faranga ya Burundi ipo juu,sasa kwanini inakuwa hivyo wakati nchi yao ipo kwenye Machafuko hivyo hawazalishi?
Aidha wale jamaa tumewazidi ki-viwanda yaani karibia asilimia tisini ya vitu vya viwandani vinatokea kwetu,Kwenye upande wa Chakula ndio usiseme,yaani mimi ninashangaa kwanini Faranga yao ipo juu wakati wao tunawazidi kwa kila kitu?,
Siku nimeenda walikuwa wana-chenji Shilingi mia kwa Faranga 92,
Nawasilisha wakuu.