Malezi
Member
- Apr 30, 2022
- 8
- 3
Aisee imenitokea hivi karibuni wife ameniacha na kuondoka kurudi kwao kisa sina pesa lakini ushawishi mkubwa wa kuniacha kapewa na mama yake .
Eti anamwambia akatafute mtu mwingine sababu mimi sina pesa na huwa simpi hata mia tano huyo mama mkwe kwa hio sifaahi kuwa na mwanae.
Na hivi sasa huyo mke yupo kwa bwana anaishi nae kinyumba daah inaniuma sana na hata talaka sijampa ameondoka kwangu kinguvu sasa ni miezi 2 na nusu.
Eti anamwambia akatafute mtu mwingine sababu mimi sina pesa na huwa simpi hata mia tano huyo mama mkwe kwa hio sifaahi kuwa na mwanae.
Na hivi sasa huyo mke yupo kwa bwana anaishi nae kinyumba daah inaniuma sana na hata talaka sijampa ameondoka kwangu kinguvu sasa ni miezi 2 na nusu.