Hivi kwanini Africa isiungane tuwe moja? Mbona litakuwa jambo zuri mno!

Hakuna Muungano wa Afica unaoweza kutokea kwa hiyari, ni Vita Pekee ndiyo inayoweza kuiunganisha Africa,
Issue iko hapa, Watanzania na wacameroun tupo tofauti sana, lakini Watanzania, Kenya, Uganda, Rwanda say east Africa tunaingiliana so ni rahisi kujiunga, then Cameroun, Nigeria, Togo, Ghana nao wanafanana wakajiunga, then unakuja DRC, Congo Braza, Gabon, Africa Kati nao wanafanana, Then Sudan, Ethiopia, Djibout, Eritrea, Somali
Kisha hizo blocks zinaforce kuungana, nchi isiyotaka inavamiwa kijeshi na inaingizwa kwenye muungano kwa lazima

Dadangu kwa hiyari hakuna nchi ya kiafrica inayoweza kukubali kuungana bila kuwa na kibali cha bwana wake (USA, FRANCE, UK nk)
You need to see beyond the petty differences, na kuona mambo makuu zaidi yatuunganishayo na faida zake
 
Utawafukuza waarabu wote wahindi, wachina,wazungu nk.???????
mkuu sizungumzii races ya watu moja moja ndani ya mataifa yakiafrika ninachozungumza ni mataifa ya kiarabu kama egypt,tunisia,algeria,morocco,sudan kusini ambayo yanatambulika kama mataifa ya kiarabu ktk bara la afrika,ktk mataifa haya 98% ya raia wake ni waarabu sio weusi.kwa maana hii litakapokuja swala la arika moja kuungana hayo mataifa hata siku moja hayawezi kukubali.
ndio maana nasema mkakati wa afrika kutoungana ulianzia hapa hawa wazungu waliona mbali kwa kuweka mipaka na kujumuisha hizo nchi ziwe afrika
 
Tatizo lenu Nyie timu FANTASMA kama sijakosea

Ni kwamba, mnatumia NguVu
Nyingi sana kwenye KUSWAGA
Watu kuliko kujiweka wenyewe
Bayana.

Uko mlipo lenga panafaa kabisa wala hamjakosea
Maana ndipo kwenye asili
Ya Mtu Kujitambua

Na ndio chimbuko la Mafanikio

Lakini mnatumia mabox kupikia maharage au sijui
Niseme kuvulia.! 'Chuma'
Kuunda shepu Mpya muitakayo..!

Mnatakiwa mjiweke wenyewe
Kwanza BAYANA kama kweli
Lengo lenu ni kuleta Tija na
Si kufurahisha Genge.
Kwamba;
1) Nyinyi ni wakina na lengo
Lenu ni nini?

2)Mtukumbushe iyo Historia yetu tuliyo isahau ikatupelekea
Kuwa hivi tulivyo Kwa uchache, labda inaweza kuwa chambo kizuri
Cha mwaliko.!

3) Hamna mtoto humu, likiwa
Jema mwenye uelewa nalo atakuunga mkono kulifankisha


Mwisho Kwa ushauri

Tegemeeni kupingwa lakini
Isiwe sababu ya kuwafanya
Mshindwe kulisema

Na wala msitoe kisingizio cha
Kusafisha Hali ya hewa

Sisi ni watu tuliokaa kwenye
Mabenchi na Mikeka kwenye Nyumba za Ibada vizazi na vizazi

Hutuna Upya na izo Nyumba cha Msingi na chuo kikuu 'Fungukeni'

La sivyo mtacheza Shere Tu
Hampati MTU.
Bwanamancho hatubahatishi, hii imepangwa zaidi ya miaka miatatu Sasa, Ni big issue
 
You need to see beyond the petty differences, na kuona mambo makuu zaidi yatuunganishayo na faida zake

Unajua kutoka Misri kwenda Israel kwa miguu ni mwendo wa less than a week, lakini wana wa Israel walitumia miaka Arobaini kuingia nchi ya ahadi (kwa mujibu wa Bible), unaweza kujiuliza lengo hasa lilikiwa ni nini, lakini ukichunguza ni kuwa Kizazi kilichotoka Misri hakikupaswa kuingia Kaanani kwani bado kilikuwa na mentality za Faraoh, so mind zao zilikuwa bado za kule, so kile kizazi kilibidi kipotee na kizazi kipya kisichoshuhudiq ya Misri ndio kiingie kaanani

Sisi bado hatujatoka kwenye utumwa wa kiakili wa wakoloni wetu, kwanza ndio tupo bize kurudi kwenye Ukoloni, ndio kwanza tunazidi kugawanyika, Akili ya kuunganisha Africa bila Vita Haipo, Block la East Africa lijiimarishe kijeshi livamie block la Central Africa, then East na Central livamie Horn of Africa hivyo hivyo mpaka Africa iungane

Kwa Hiyari sahau kabisa Dada, Haiwezekani
 
Hili jambo nilishawahi kulifikiria sana, ni nani aliyechora hii ramani ya Africa na kuingiza nchi kama Morroco, Libya, Egypt kama sehemu ya Africa??
kwa kweli hapo utata lazima uwepo iwe isiwe.

We have a long way to go.
mkuu hapa ndipo wazungu walicheza-walijua kabisa kwa kufanya hivi afrika hatutakuja kuungana kamwe.tutatoa sababu milioni tunazo hisi ndio sababu ya nchi za afrika kutoungana lakini sababu kubwa ni hii moja tu.races mbili tofatuti haziwezi kuja kuwa pamoja hata siku moja
 
Sababu ziko nyingi Ila hii ya uchu na ulafi wa madaraka haiwezi kutuunganisha..


Kila mmoja atataka kuwa kiongozi wa juu tena na kun'gan'gania madaraka
Mfano mzuri alikuwa Ghadaffi ali propose lakini akataka yeye awe Rais wa kwanza. Walipompinga wenzie akakimbilia jumuia za Kiislam na kiarabu nako akashindwa. Je, Mseveni anaweza kukubali kuachia madaraka kwa mtu yeyote, Mugabe kama si mbinde angekubali kuondoka hata huko kwake Zimbabwe? Si kila mtu anayeonja madaraka yupo tayari kuachia ngazi, hapa kwetu wanajidai kutokushtakiwa lakini otherwise hakuna anayeweza kumpa mtu ili aje ageukwe sembuse kuunganisha nchi zote zenye lugha na asili tofauti? Francophone countries hawawezi kula meza moja na Anglophone.
 
mkuu sizungumzii races ya watu moja moja ndani ya mataifa yakiafrika ninachozungumza ni mataifa ya kiarabu kama egypt,tunisia,algeria,morocco,sudan kusini ambayo yanatambulika kama mataifa ya kiarabu ktk bara la afrika,ktk mataifa haya 98% ya raia wake ni waarabu sio weusi.kwa maana hii litakapokuja swala la arika moja kuungana hayo mataifa hata siku moja hayawezi kukubali.
ndio maana nasema mkakati wa afrika kutoungana ulianzia hapa hawa wazungu waliona mbali kwa kuweka mipaka na kujumuisha hizo nchi ziwe afrika
Nimekusoma, nafahamu, tukishamaliza kuungana siye tutawauliza Kama nyie sio waafrica mwafanya Nini barani hapa, kwenye nchi hii nyeusi???? Basi rudini kwenu
 
mkuu hapa ndipo wazungu walicheza-walijua kabisa kwa kufanya hivi afrika hatutakuja kuungana kamwe.tutatoa sababu milioni tunazo hisi ndio sababu ya nchi za afrika kutoungana lakini sababu kubwa ni hii moja tu.races mbili tofatuti haziwezi kuja kuwa pamoja hata siku moja
Do not underestimate the power of ideology to bind people together.....it is beyond race
 
Kaka mwakamajoka Asante Sana ndugu hakika tunahitaji hoja pambanuzi Kama zako...so what next...tuende tu na upepo???
Kwenda tu na upepo kamwe hatutafika kwenye lengo sahihi. Kikubwa kabisa ni kujitambua sisi kwanza kwa kuzingatia malengo yetu kama waafrika.

Afrika tunahitaji maendeleo katika nyanja zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii. Hatuwezi kufikia malengo yetu kwa kutumika na mataifa makubwa ya kimaghalibi, kwasababu hawa jamaa kwa asili na mda mrefu wamekuwa wanyonyaji na watu wa maslahi binafsi kwa kiwango kikubwa. Hawa ndio wamekuwa wakituvuruga kwa kiwango kikubwa na wamekuwa hatarishi kwa ustawi wa nchi nyingi za kiafrika. Zingatia nchi ya Kongo (Kinshasa ), Sudani na Zimbabwe.

Cha msingi na kikubwa kwa bara letu la Afrika lazima wote tuwe na sauti moja.

KWA MFANO :

1: Wote tuamue kwa nguvu moja iliyojaa uzalendo uliotukuka kwamba sisi Waafrika tumeamua kulinda jamii na rasilimali zetu kwa maslahi mapana ya Afrika kwanza.

2: Tuamue wote kwa nguvu moja na uzalendo uliotukuka kwamba tumeamua kujikita na kuzingatia mfumo upi wa kiuchumi, kama ni uchumi wa kibepari (kila mtu apambane na hali yake kwa maana ya nyezo za uzalishaji zimilikiwe na watu binafsi ) au uchumi wa kijamaa (kwa maana ya nyezo zote muhimu za uzalishaji zisimamiwe na serikali).

3: Tuamue kwa nguvu moja na kwa uzalendo uliotukuka kwamba wote tunajikita na kuzingatia siasa ipi ili Afrika kwa ujumla ifike pale tunapopahitaji. Kwa mfano : Kuna siasa za kimaghalibi na siasa za kijamaa. Je tupo tiari kuweka wazi Duniani kote wajue sisi tunasonga mbele kwa mfumo wa siasa za kijamaa kama ilivyo China, Cuba, Urusi,Korea Kaskazini, Vietnam nk.

Fatima Binti Hemedi, jambo hili la Afrika kuwa nchi moja ni gumu lakini linawezekana kabisa. Cha msingi kinachohitajika hapa ni mapambano na harakati safi zakutujenga waafrika wote kama ndugu. Kwasababu kuna watu wasioonekana kazi yao ni kuafuatilia kila aina ya harakati katika nchi mbali mbali kufahamu na kutambua nini kinaendelea ndani ya nchi hizo zikiwemo na nchi za Afrika kama mambo yanaenda sawa kwa maslahi yao basi nchi hiyo itatulia na amani itajaa ila wakiona kuna moshi unafuka katikati ya maslahi yao moshi utapotea na moto utawaka.
 
Mfano mzuri alikuwa Ghadaffi ali propose lakini akataka yeye awe Rais wa kwanza. Walipompinga wenzie akakimbilia jumuia za Kiislam na kiarabu nako akashindwa. Je, Mseveni anaweza kukubali kuachia madaraka kwa mtu yeyote, Mugabe kama si mbinde angekubali kuondoka hata huko kwake Zimbabwe? Si kila mtu anayeonja madaraka yupo tayari kuachia ngazi, hapa kwetu wanajidai kutokushtakiwa lakini otherwise hakuna anayeweza kumpa mtu ili aje ageukwe sembuse kuunganisha nchi zote zenye lugha na asili tofauti? Francophone countries hawawezi kula meza moja na Anglophone.

Mnayohaki ya kuwa na mashaka, lakini mengine Ni classified siwezi kuwajibu hapa
 
Kwenda tu na upepo kamwe hatutafika kwenye lengo sahihi. Kikubwa kabisa ni kujitambua sisi kwanza kwa kuzingatia malengo yetu kama waafrika.

Afrika tunahitaji maendeleo katika nyanja zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii. Hatuwezi kufikia malengo yetu kwa kutumika na mataifa makubwa ya kimaghalibi, kwasababu hawa jamaa kwa asili na mda mrefu wamekuwa wanyonyaji na watu wa maslahi binafsi kwa kiwango kikubwa. Hawa ndio wamekuwa wakituvuruga kwa kiwango kikubwa na wamekuwa hatarishi kwa ustawi wa nchi nyingi za kiafrika. Zingatia nchi ya Kongo (Kinshasa ), Sudani na Zimbabwe.

Cha msingi na kikubwa kwa bara letu la Afrika lazima wote tuwe na sauti moja.

KWA MFANO :

1: Wote tuamue kwa nguvu moja iliyojaa uzalendo uliotukuka kwamba sisi Waafrika tumeamua kulinda jamii na rasilimali zetu kwa maslahi mapana ya Afrika kwanza.

2: Tuamue wote kwa nguvu moja na uzalendo uliotukuka kwamba tumeamua kujikita na kuzingatia mfumo upi wa kiuchumi, kama ni uchumi wa kibepari (kila mtu apambane na hali yake kwa maana ya nyezo za uzalishaji zimilikiwe na watu binafsi ) au uchumi wa kijamaa (kwa maana ya nyezo zote muhimu za uzalishaji zisimamiwe na serikali).

3: Tuamue kwa nguvu moja na kwa uzalendo uliotukuka kwamba wote tunajikita na kuzingatia siasa ipi ili Afrika kwa ujumla ifike pale tunapopahitaji. Kwa mfano : Kuna siasa za kimaghalibi na siasa za kijamaa. Je tupo tiari kuweka wazi Duniani kote wajue sisi tunasonga mbele kwa mfumo wa siasa za kijamaa kama ilivyo China, Cuba, Urusi,Korea Kaskazini, Vietnam nk.

Fatima Binti Hemedi, jambo hili la Afrika kuwa nchi moja ni gumu lakini linawezekana kabisa. Cha msingi kinachohitajika hapa ni mapambano na harakati safi zakutujenga waafrika wote kama ndugu. Kwasababu kuna watu wasioonekana kazi yao ni kuafuatilia kila aina ya harakati katika nchi mbali mbali kufahamu na kutambua nini kinaendelea ndani ya nchi hizo zikiwemo na nchi za Afrika kama mambo yanaenda sawa kwa maslahi yao basi nchi hiyo itatulia na amani itajaa ila wakiona kuna moshi unafuka katikati ya maslahi yao moshi utapotea na moto utawaka.
To do all that we need idili ya pamoja, kufunguliwa hekalu Jeusi hakuepukiki, Asante Sana ndugu
 
Unajua kutoka Misri kwenda Israel kwa miguu ni mwendo wa less than a week, lakini wana wa Israel walitumia miaka Arobaini kuingia nchi ya ahadi (kwa mujibu wa Bible), unaweza kujiuliza lengo hasa lilikiwa ni nini, lakini ukichunguza ni kuwa Kizazi kilichotoka Misri hakikupaswa kuingia Kaanani kwani bado kilikuwa na mentality za Faraoh, so mind zao zilikuwa bado za kule, so kile kizazi kilibidi kipotee na kizazi kipya kisichoshuhudiq ya Misri ndio kiingie kaanani

Sisi bado hatujatoka kwenye utumwa wa kiakili wa wakoloni wetu, kwanza ndio tupo bize kurudi kwenye Ukoloni, ndio kwanza tunazidi kugawanyika, Akili ya kuunganisha Africa bila Vita Haipo, Block la East Africa lijiimarishe kijeshi livamie block la Central Africa, then East na Central livamie Horn of Africa hivyo hivyo mpaka Africa iungane

Kwa Hiyari sahau kabisa Dada, Haiwezekani
Inawezekana, tunaweza Kama tuna hiyo roho ya paka
 
Kwenda tu na upepo kamwe hatutafika kwenye lengo sahihi. Kikubwa kabisa ni kujitambua sisi kwanza kwa kuzingatia malengo yetu kama waafrika.

Afrika tunahitaji maendeleo katika nyanja zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii. Hatuwezi kufikia malengo yetu kwa kutumika na mataifa makubwa ya kimaghalibi, kwasababu hawa jamaa kwa asili na mda mrefu wamekuwa wanyonyaji na watu wa maslahi binafsi kwa kiwango kikubwa. Hawa ndio wamekuwa wakituvuruga kwa kiwango kikubwa na wamekuwa hatarishi kwa ustawi wa nchi nyingi za kiafrika. Zingatia nchi ya Kongo (Kinshasa ), Sudani na Zimbabwe.

Cha msingi na kikubwa kwa bara letu la Afrika lazima wote tuwe na sauti moja.

KWA MFANO :

1: Wote tuamue kwa nguvu moja iliyojaa uzalendo uliotukuka kwamba sisi Waafrika tumeamua kulinda jamii na rasilimali zetu kwa maslahi mapana ya Afrika kwanza.

2: Tuamue wote kwa nguvu moja na uzalendo uliotukuka kwamba tumeamua kujikita na kuzingatia mfumo upi wa kiuchumi, kama ni uchumi wa kibepari (kila mtu apambane na hali yake kwa maana ya nyezo za uzalishaji zimilikiwe na watu binafsi ) au uchumi wa kijamaa (kwa maana ya nyezo zote muhimu za uzalishaji zisimamiwe na serikali).

3: Tuamue kwa nguvu moja na kwa uzalendo uliotukuka kwamba wote tunajikita na kuzingatia siasa ipi ili Afrika kwa ujumla ifike pale tunapopahitaji. Kwa mfano : Kuna siasa za kimaghalibi na siasa za kijamaa. Je tupo tiari kuweka wazi Duniani kote wajue sisi tunasonga mbele kwa mfumo wa siasa za kijamaa kama ilivyo China, Cuba, Urusi,Korea Kaskazini, Vietnam nk.

Fatima Binti Hemedi, jambo hili la Afrika kuwa nchi moja ni gumu lakini linawezekana kabisa. Cha msingi kinachohitajika hapa ni mapambano na harakati safi zakutujenga waafrika wote kama ndugu. Kwasababu kuna watu wasioonekana kazi yao ni kuafuatilia kila aina ya harakati katika nchi mbali mbali kufahamu na kutambua nini kinaendelea ndani ya nchi hizo zikiwemo na nchi za Afrika kama mambo yanaenda sawa kwa maslahi yao basi nchi hiyo itatulia na amani itajaa ila wakiona kuna moshi unafuka katikati ya maslahi yao moshi utapotea na moto utawaka.
I wish wengi wangekuwa na imani, ono na ithibati Kama ya kwako mwaka majoka
 
Ndugu hili Jambo si njozi, tayari liko kwenye utekelezaji, tuko hapa kupata wale watakaopenda kuungana nasi, wenye Imani, itafika mahali tutapiga mstari, Nani ndani Nani nje......!!!!!! Tujue Kisha tufanyeje ya kwetu
 
Back
Top Bottom